[employment%255B2%255D.jpg]



IMEANDIKWA NA MAKIRITA AMANI WA AMKA MTANZANIA
Tunaishi kwenye kipindi chenye changamoto nyingi sana hasa linapkuja swala la ajira. Katika swala la ajira kuna makundi matatu, kuna walioajiriwa, kuna waliojiajiri na kuna ambao hawapo kwenye ajira kabisa ila bado wanatengeneza fedha.
  Walioajiriwa ni wale wanaofanya kazi na kulipwa.  Waliojiajiri ni wale waliotengeneza ajira zao wenyewe na wanaweza kuwa wameajiri watu wengine. Ambao hawako kwenye ajira kabisa ni wale ambao wameshatengeneza mifumo ambayo inawaingizia fedha bila ya wao kufanya kazi kubwa. Yaani mtu anaweza kulala mwezi mzima na bado fedha zinaingia.
employment
  Nafasi za kuajiriwa kwa sasa zimekuwa chache sana na hata ajia zenyewe zimekuwa mzigo sana kwa waajiriwa. Kutokana na hayo watu wengi wanafikiri kujiajiri ndio suluhisho la tatizo hili la ajira.
  Kujiajiri kunaweza kuwa suluhisho la tatizo la ajira kama umejipanga kweli kujiajiri(soma; kama una tabia hizi usijaribu kujiajiri) Ila pia kwenye kujiajiri kuna changamoto na kama hujajipanga vizuri hali inaweza kuwa mbaya kuliko hata kwenye ajira.
  Unapokuwa kwenye ajira mara nyingi kuna saa maalumu za kufanya kazi, na mara nyingi huwa masaa nane mpaka kumi kwa siku. Unapokuwa umejiajiri mwenyewe unaweza kujikuta unafanya kazi zaidi ya masaa 10 kwa siku na mara nyingi ndivyo inavyokuwa. Wewe ndio unakuwa bosi na wewe ndio muajiriwa wa kwanza, hata kama una watu umewaajiri.
  Watu wengi waliojiajiri wao wanakuwa ndio kila kitu kwenye ajira zao, kama asipokwenda kazini kwa siku moja tu, madhara yanakuwa makubwa sana kwenye kazi yake.
  Kama umejiajiri na kazi yako haiwezi kwenda bila ya wewe basi huna tofauti na alieajiriwa na huenda wewe ukawa unafanya kazi ya kukuumiza zaidi ya hata alieajiriwa. Unaweza kuwa unapata kipato kikubwa zaidi ya alieajiriwa ila kama unafanya kazi masaa 14 kwa siku(unaondoka nyumbani saa 12 asubuhi unarudi saa 2 usiku) unafikiri umepata uhuru wa ajira hapo? Je unaweza kufanya kazi hiyo kwa muda gani kabla mwili haujachoka na kushindwa kufanya hivyo? Je umeshafikiria utafanya nini pale utakapokosa nguvu ya kufanya unachofanya?
  Kama unataka kujiajiri ama tayari umejiajiri weka mipango ya kutokuwa kwenye ajira kabisa. Weka mpango labda baada ya miaka kumi ya kufanya kazi masaa14 kwa siku utakuwa umeshatengeneza mfumo wa kukutengenezea fedha ambao hautakuhitaji tena kufanya kazi masaa hayo. Huwezi kufanya kazi unayoifanya kwa miaka yako yote unayoishi, kuna wakati utachoka. Lazima uweke mipango ya kujua utaishi vp pale utakapochoka.
  Vinginevyo ukifika wakati wa kustaafu utastaafu kama waliokuwa wameajiriwa na wao watakuwa na afadhali kuliko wewe kwa sababu kuna sehemu ya fedha wanaweza kupata kama mafao.
Read More ...

0 comments


 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEih9rH3TuKm5m_4kROdyAfr8xpO4h89E90RUMOfQVkk5bw4I0Ci5sAgEjg7Cc6Nte5YMQrR3-efjGUo6WdXgY2syZGnk9b6iLNnQTocd2iRElH4O34Tuf5BouzfKDn9TyIYD0s27SZIIjw/s320/2013.jpg


Ndugu mdau  tunamshukru MUNGU muumba mbingu na dunia kwa kutupigania katika kila jambo
ndugu zangu ikumbukwe mwaka jana katika shindano la blog yetu  ilifanikiwa kushika nafasi ya pili katika kipengele cha ujasiri amali { habai za biashara}
sasa ndugu yangu mwaka huu shindano limerudi tena likiwa na mtazamo mpya ukiwa kama ndugu na jamaa na rafiki naombwa uipenekeze blog hii iweze kuingia katika category mbalimbali na unapaswa kuipendekeza kama wenye shindano wanavyotaka soma hapa bonyeza hapo

Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013

pia ningependekeza tuipendekeze blog hii kwenye vipengele hivi

 Best Business Blog

 Best Educational Blog

 Best Inspiration Blog

kwangu miminaona ndio vipengele vinavyohusu blog hii 

naman ya kufanya,

 
Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja

mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 

              gshayo.blogspot.com

Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe ambavyo ni

 Best Business Blog

 Best Educational Blog

 Best Inspiration Blog

unaweza kuongeza vingine lakini vya umuhimu ndio hivyo hapo juu

 
Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hizi

  tanzanianblogawards@gmail.com

au nyingine

 
nomination@bloggersassociationoftanzania.com

 Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki

asante sana natumaini tumeelewana na tutapeana ushirikiano mzuri

barikiweni

Read More ...

0 comments

 
 




Cashier cum Sales Clerk



Position Description:TANSEED International Ltd is a private seed company engaged in quality seed production and marketing of crop varieties, provision of private agricultural extension services and other market support services in Tanzania.Qualification:ATEC III or above


KUSOMA ZAIDI NA KUAPPLY BOFIA HAPA>>>> APPLY JOB



Secretary cum Office Supervisor



Position Description:TANSEED International Ltd is a private seed company engaged in quality seed production and marketing of crop varieties, provision of private agricultural extension services and other market support services in Tanzania.Qualification:Full secretarial certificate with effective communicate

KUSOMA ZAIDI NA KUAPPLY BOFIA HAPA>>>> APPLY JOB




Financial Controller



Position Description:Global Skill Consulting and Educationon behalf of our client a fast growing start up company based in Arusha, is seeking aFinancialControllerfor the Arusha office.Job descriptionThe controllerwill manage accounting systems, financialcontrols, accounts payable, accounts receivable, and journal entries. They will also assist in a successful audit. They will need to make journal entries themselves, but will be expected to build an accounting team around them as the company grows. The company uses a web-based accounting software called Xero.


KUSOMA ZAIDI NA KUAPPLY BOFIA HAPA>>>> APPLY JOB



Branch Accountant (Two Posts)



Position Description:IntroductionThe National Insurance Corporation of Tanzania (NIC (T) Ltd) is a state owned insurance company with a branch network a II over the country. I n order to strengthen its operations, the Corporation needs to fill some few vacant posts in order to obtain dynamic, dedicated and self motivated employees who will enable the Corporation to meet the aspirations of all its stakeholders especially customers.The Corporation wishes therefore to invite candidates with competent skills to fill the following vacancy:-

KUSOMA ZAIDI NA KUAPPLY BOFIA HAPA>>>> APPLY JOB




Front Office Manager



Position Description:Our client, a five star hotel in Serengeti, Tanzania is seeking a dynamic manager with a real passion for standards delivery and commitment in providing the ultimate guest experience.

•Must possess at least 4 years of experience in a similar position in an upscale, full service Resort/Lodge. •Must be able to prepare accurate written correspondence including letters, and e-mails using MS Word, and reports using Excel. •The applicant needs to be proficient in Hotel property management systems, in particular Opera. •Fluency in reading, writing and spoken English language skills are required.





KUSOMA ZAIDI NA KUAPPLY BOFIA HAPA>>>> APPLY JOB




HIZI NI NAFASI TANO KATI YA ISHIRINI ZILIZOWEKWA LEO, KUONA KAZI ZOTE BONYEZA HAPA >> KAZI ZA LEO
Read More ...

1 comments




 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0FRUauhon5I_y50aAsc2hNxIqFoIP-gtnA_TKHVD3AqLLVPR0_m_3q4Gpk-kOO2ZTb6pe6YSDurMK3hcz0tsKk8NReT47pn_CCW6rS4uvTVvP31AcJ8m5q90MdWxcakdiUg9JqIN_X2A/s1600/utajiri%25255B2%25255D.jpg




IMEANDIKWA NA MAKIRITA AMANI WA AMKA MTANZANIA 
 Wengi tunajua matajiri wakubwa wa Tanzania, wa Afrika na hata wa dunia kwa ujumla. Na baadhi yetu tunajua thamani ya utajiri wanaomiliki matajiri hawa, japo yule wa kwanza. Huenda umeshawahi kuingia kwenye ubisha na wenzako kuhusu nani tajiri namba moja ama kiwango cha utajiri matajiri wakubwa wanachomiliki.
  Ni vizuri sana kujua takwimu hizi za watu matajiri, ila je umewahi kuziandika takwimu za utajiri wako? Ama unafikiri huna utajiri unaoweza kuuandikia takwimu? Ama unafikiri kwakuwa huna fedha walizonazo matajiri wakubwa basi wewe huna utajiri wowote unaomiliki?
utajiri
  Kama unafikiri wewe sio tajiri basi unakosea, kama unaweza kusoma hapa basi wewe unamiliki utajiri mkubwa sana.
  Hebu kaa chini na utathimini thamani ya vitu hivi ambavyo umepewa bure kabisa.
  Maisha, unaweza kusoma hapa kwa sababu unaishi, na una afya njema. Je akitokea mtu mwenye fedha nyingi akakuambia umuuzie moyo wako utamwambia akupe shilingi ngapi?(soma; thamani ya uhai wako). Maisha yako na afya yako ni utajiri mkubwa sana kwako.
  Viungo vya mwili ulivyonavyo, akili timamu, macho, masikio, mikono na miguu. Ni gharama kiasi gani unaweza kumtoza mtu atakaetaka kununua baadhi ya viungo hivyo kutoka kwako? Kama una viungo hivyo na vinafanya kazi vizuri basi wewe ni tajiri mkubwa sana. Hata kama kuna vyote ila kuwa tu una akili timamu ni utajiri tosha. Kuna watu wengi ambao hawana baadhi ya viungo kama mikono, miguu, ama macho ila wamefanya mambo makubwa sana. (Soma; kama unadhani wewe una bahati mbaya na nini hasa ulichokosa)
usikate tamaausikate tamaa3
  Jua thamani ya utajiri unaomiliki ili uweze kuubadili kuwa utajiri wa kifedha. Tumia ulichonacho na vinavyokuzunguka ili kufikia mafanikio unayotaka. Umasikini ni hali ya fikra na wala sio kukosa umiliki wa vitu.
Read More ...

0 comments

                                                              Shoes On Sale !!!!!!
Read More ...

0 comments

 
 



SENIOR LECTURERS (2 Posts)
St. John’s University of Tanzania (SJUT)
(f) Main Duties and Responsibilities:
The Senior Lecturer shall be responsible to the Deputy Vice Chancellor (Academics) for the efficient and effective planning and promoting the vision of the University, attracting funding for different activities of the University and solving complex institutional problems. He/she shall specifically be responsible, for:
(i) Designing and developing curricula;
(ii) Developing new courses and programmes;
(iii) Undertaking individual research and participating in bigger multidisciplinary research projects;
(iv) Preparing manuals, simulations and case studies for training;
(v) Provide close supervision and guidance to students;
Mode of Application:

CLICK HERE TO APPLY


Deadline :
16th August, 2013

Director of Finance
Clinton Health Access Initiative
Responsibilities:
• Oversee all financial and administrative processes including bookkeeping, accounts receivable and payable, and monthly bank reconciliation; and ensuring correct and timely submission of all monthly financial files to HQ
• Manage the budgeting, re-forecasting and donor financial reporting functions of the organization. This includes leading the annual budgeting process and bi-annual re-forecasting process, donor reporting and grant position management, as well as financial reporting and analysis for the country team.
• Develop an in-depth understanding of individual programmes/budgets/funding and donor requirements, and develop strong relations with the program team. Analyse and clearly communicate monthly and annual financial reports to the program team
• Manage organizational cash flow and forecasts and ensure that the country office, its partners and vendors receive funds in a timely manner
How to apply:

CLICK HERE TO APPLY


Deadline : 31 Oct 2013


Assistant Programme Coordinator - International Citizen Service (ICS)

Restless Development
Experience and Skills Essential
- Experience of managing and supporting volunteers, preferably in a multi-cultural setting
- Experience of training and capacity building
- Excellent interpersonal and communication skills
- Experience in the development sector and/or a volunteer-based organization
- Strong ICT and social media skills including Word, Excel, Powerpoint, Outlook and facebook, twitter, and blogging
- Flexibility with the ability to stay out of office, working in the field for prolonged periods
- Ability to work in a team Preferable § Experience of budgeting and handling finances
How to apply:

CLICK HERE TO APPLY


Deadline : 22 Aug 2013


ASSISTANT LECTURERS (3 Posts)
St. John’s University of Tanzania (SJUT)
(f) Main Duties and Responsibilities:
The Assistant Lecturer shall be responsible to the Deputy Vice Chancellor (Academics) for the efficient and effective preparing and delivering own teaching materials, problem solving and innovating skills, and recognizing those having difficulties, intervene and provide help and support. He/she shall specifically be responsible, for:
(i) Conducting lecturers, seminars, tutorials and practicals for undergraduate programmes;
(ii) Assisting senior staff in practical, seminars and tutorials for postgraduate programmes as part of their learning and building capacities in various aspects of teaching, learning, research and public service;
(iii) Supervising special projects for undergraduate students;
(iv) Conducting and publishing research results;
(v) Assist in writing teaching manuals and compendia; and
Mode of Application:

CLICK HERE TO APPLY


Deadline :
16th August, 2013

Programme Coordinator
Restless Development
Deadline : 22 Aug 2013

WEB ADMINISTRATION & DESIGN (1 Post)

Design Factory
Deadline : 16th August 2013.

Monitoring and Evaluation Manager
Aga Khan Foundation (AKF)
Deadline : 28th August 2013

Private Sector Partnership Specialist in the Rice Value Chain
ACDI/VOCA
Deadline : 30 Aug 2013
 
Administrators Jobs
Business Jobs
Management Jobs
Medical Jobs
Engineers
Read More ...

0 comments

 




Pata elimu ya biashara na maendeleo binafsi popote ulipo, iwe kwenye foleni, nyumbani ama popote ambapo unaweza kuwa unapoteza muda ukiwa unasubiri kitu ama huduma fulani.
Unaweza kujipatia memory card ya 2GB ambayo itakuwa na audio books ambazo unaweza kusikiliza kwenye simu yoyote yenye uwezo wa kuchukua memory card hata kama una simu ya mchina. Pia memory card hiyo unaweza kuisikiliza kwenye mp3 player ya gari.
Vitabu Vitakavyokuwepo ni

1. Cashflow quadrant – R. Kiyosaki

2. Rich dad poor dad – R. Kiyosaki

3. Increase your financial IQ – R. Kiyosaki

4. Freedom or security – R. Kiyosaki

5. Retire Young Retire Rich – R. Kiyosaki

6. Brian Tracy - Become an Outstanding Manager

7. Brian Tracy - 21 Success Secrets of Self-Made Millionaires

8. Brian Tracy - Get Paid More and Promoted Faster

9. Brian Tracy - How To Gain 2 Extra Hours a Day

10. Brian Tracy - 21 Ways to Build a High Profit Business

11. Brian Tracy - 21 Ways To Get Ahead In Your Career

12. Brian Tracy - Make a Million

13. Brian Tracy - The Psychology of Achievement

14. How To Instantly Connect With Anyone

15. Napoleon Hill's Keys To Success

16. Anthony Robbins - Awaken the Giant Within

17. Brian Tracy - 21 Great Ways To Manage Your Time And Double Your Productivity

18. Zig Ziglar - How To Be A Winner

19. Zig Ziglar - Success And The Self-Image

20. Earl Nightingale - Lead The Field

21. James Allen - As A Man Thinketh

22. Kerry L. Johnson - Science of Self Discipline

23. David Lieberman - Get Anyone To Do Anything

24. Eric Ries - The Lean Startup

25. Outside Your Comfort Zone - Jeff Lilley

Kama unahitaji kupata memory card hiyo tuma email kwenda amakirita@gmail.com au unaweza kupiga namba 0717396253

Ni vyema ukawepo dar es salaam. Kama upo nje ya dar es salaam utafanyika utaratibu wa kukutumia huko uliko.

PIA AUDIO HIZO UNAWEZA KUZIPATA KWENYE CD AU DVD
PIA UNAWEZA KUPATA VITABU VINGINE UTAKAVYOHITAJI
by  Makirita Amani member of jf
Read More ...

2 comments




 


 
1. Think & Grow Rich by Napoleon Hill
A must for anyone wanting to improve their lives and their positive thinking. There have been more millionaires and indeed, billionaires, who have made their fortunes as a result of reading this success classic than any other book every printed.
2. How to Win Friends & Influence People by Dale Carnegie
You can go after the job you want…and get it! You can take the job you have…and improve it! You can take any situation you’re in…and make it work for you!
3. Who moved my Cheese? by Spencer Johnson
From one of the world’s most recognized experts on management comes a charming parable filled with insights designed to help readers manage change quickly and prevail in changing times.
4. The Richest Man in Babylon by George J. Clason
Hailed as a modern-day classic, this celebrated bestseller offers an understanding of-and a solution to-personal financial problems. Based on the success secrets of ancient “Babylonian parables”, it is the most inspiring book on wealth ever written.
5. Rich Dad Poor Dad by Robert Kiyosaki
Anyone stuck in the rat-race of living paycheck to paycheck, enslaved by the house mortgage and bills, will appreciate this breath of fresh air. Learn about the methods that have created more than a few millionaires.
6. The Slight Edge by Jeff Olson
Why is it that some people make dream after dream come true, while others just continue dreaming and spend their lives building dreams for someone else? One simple reason, those that are “successful” have found their SLIGHT EDGE!
7. Chicken Soup for the Soul by Jack Canfield & Mark Victor Hansen
Two of America’s best-loved inspirational speakers share the very best of their collected stories and favorite tales that have touched the hearts of people everywhere. Canfield and Hansen bring you wit and wisdom, hope and empowerment to buoy you through life’s dark moments.
8. As a Man Thinketh by James Allen
This book is a MUST read if you are desiring to change your negatives into positives! The power of the mind is incredible – in all areas of our life!
9. N.O.W (No Opportunity Wasted) by Phil Keoghan
This is no armchair traveler book. It is an urgent call to action, inspiring and enabling people to overcome fear and seek out memorable experiences of their own. With his fresh and compelling N.O.W. philosophy, this is a book that will help us all dream more freely and live more fully.
10. How to Make Millions with Your Ideas by Dan S. Kennedy
This book is very typical Dan Kennedy. That is to say it is based on years of experience and he tells it like it is. He does not give theory but gives specific examples of what works and what does not work.
11. How Bad Do You REALLY Want It? by Tom Massey
Success isn’t a matter of luck or fate. Nor is it entirely a matter of intelligence or talent. Take two similar people and give each of them the same opportunity. One achieves remarkable success; the other little or nothing. Why? Because, winners understand how to harness the power of desire and discipline to achieve outstanding results!
12. The Seasons of Life by Jim Rohn
Jim show’s the parallels between life and the changing seasons. To realize that the seasons will change without fail and what we can do to utilize each seasons to get the greatest rewards.
13. The Magic Of Thinking Big by David Schwartz
The Magic of Thinking Big gives you useful methods, not empty promises. Dr. Schwartz presents a carefully designed program for getting the most out of your job, your marriage and family life, and your community. He proves that you don’t need to be an intellectual or have innate talent to attain great success and satisfaction — but you do need to learn and understand the habit of thinking and behaving in ways that will get you there. This book gives you those secrets!
14. Developing the Leader Within You by John C. Maxwell
John Maxwell examines the differences between leadership styles, outlines principles for inspiring, motivating, and influencing others. These principles can be used in any organization to foster integrity and self-discipline and bring a positive change.
15. How Successful People Think by John C. Maxwell
Gather successful people from all walks of life-what would they have in common? The way they think! Now you can think as they do and revolutionize your work and life!
16. Awaken the Giant Within by Anthony Robbins
Anthony Robbins, the nation’s leader in the science of peak performance, shows you his most effective strategies and techniques for mastering your emotions, your body, your relationships, your finances, and your life. The acknowledged expert in the psychology of change, Anthony Robbins provides a step-by-step program teaching the fundamental lessons of self-mastery that will enable you to discover your true purpose, take control of your life and harness the forces that shape your destiny.
17. Unlimited Power : The New Science Of Personal Achievement by Anthony Robbins
Unlimited Power is a revolutionary fitness book for the mind. It will show you, step by step, how to perform at your peak while gaining emotional and financial freedom, attaining leadership and self-confidence, and winning the cooperation of others. It will give you the knowledge and the courage to remake yourself and your world. Unlimited Power is a guidebook to superior performance in an age of success.
18. Get Off Your “But”: How to End Self-Sabotage and Stand Up for Yourself by Sean Stephenson
Stephenson offers a structured approach to a wide array of topics, including dating, weight loss, lack of motivation, friendship, finances, and goals. While his advice is encouraging and insightful, Stephenson’s text is also notable for examples, mottos and resonant personal stories of enormous obstacles and accomplishments.
19. The 7 Habits of Highly Effective People by Stephen R. Covey
Stephen R. Covey presents a holistic, integrated, principle-centered approach for solving personal and professional problems. With penetrating insights and pointed anecdotes, Covey reveals a step-by-step pathway for living with fairness, integrity, service, and human dignity–principles that give us the security to adapt to change and the wisdom and power to take advantage of the opportunities that change creates.
20. From the Hood to Doing Good by Johnny D. Wimbrey
Johnny Wimbrey share his Adversity to Prosperity Through the Choices You Make.wa
kama unahitaji kimojawapo tafadhari usisite kupiga number hii 0715805600 au andika barua pepe luismkinga@gmail.com. kupata nakala yako( softcopy au printed copy)
Read More ...

0 comments


Wadau,
Nawasalim...

Kutokana na mjadala mrefu unaoondelea kwa siku kadhaa kwenye jukwaa hili, kuhusu apartments kutokuhitajika mikoani, nimeona niweke chapisho hili la utofauti kati ya sales na marketing, ili kuepuka aina ya upotoshaji uliopo kwenye chapisho la mleta mada aliyesema kuna mikoa Tanzania apartments hazihitajiki. Chapisho lenyewe linapatikana hapa YES Tunahitaji Apartments Tanzania Lakini si kila Mkoa

Wadau,
Marketing inachokifanya ni kuangalia kwenye kundi kubwa la watu/jamii ni product/service gani wanahitaji, lakini marketing haiishii hapo, inaenda mbali zaidi na kuangalia kuna potential kiasi gani ya kuwafanya consumers waikubali product husika na kuipa thamani inayoendana na matakwa ya entrepreneur. Mtaalam wa marketing then anatengeneza strategy ya jinsi ya kuinfluence consumers of the product.


Mfano: wataalam wa marketing wamefanikiwa kufanya tabia ya kuvuta sigara ionekane kama sign of freedom and success, hii inasababisha vijana wengi kuvuta sigara not because they need it but because kuvuta sigara kwao inawapa feeling kwamba wamekuwa wakubwa na wanaweza kujiamulia mambo yao. Hivyohivyo kwa beer. Vijana wengi wameanza kunywa bia chuo mainly because ndio wameanza kuwa na some income and freedom. Utawasikia wakisema "bia yangu inashuka taratibu" wanataka kuonyesha kwamba kuwa na bia kwao ni sign ya kuwa wako fine. Ni symbol ya mafanikio. Hiyo haijatokea tu hivihivi, imekuwa influenced by marketing ya bia.
That is what marketing does.

Sales on the other hand iko limited. Mtu wa sales anatakiwa kuuza product ambayo tayari imeshatengenezwa. Mtu wa sales hawezi kubadilisha product characteristics, kwa sababu inakuwa imeshatengenezwa kutokana na ushauri wa mtaalam wa marketing. Mtu wa sales anachokifanya ni kudefine specific group of potential customers na kubuni mbinu ya kuwafanya wainunue product hiyo.

Kwa lugha nyingine ni kwamba mtu wa marketing anavuta kundi kubwa la watu towards the product halafu mtu wa sales anaipush hiyo product kwa wateja watakaokuwepo kwenye kundi hilo.

Kwahiyo hapa unaona kwamba mtu wa marketing anaivuta jamii yote halafu mtu wa sales sasa anachambua katika wale waliovutwa ni wepi wenye uwezo wa kuinunua product husika and then anatengeneza strategy ya kudeal nao one-on-one.

Kwa mfano, watu wa marketing wametufanya watu tuipende na kuithamini Mercedes Benz, wamefanya kazi hiyo kwa uhodari mkubwa, as a result watu wengi duniani wanapenda Mercedes. Mtu wa sales wa Mercedes though hawezi kutarget watu wote duniani. Hawezi kutarget kuwauzia Mercedes wakimbizi walio kwenye refugees camp Somalia kwa mfano (ingawa nao wanaweza kuwa wanaipenda Mercedes). Atawatarget mabalozi, ma CEO,mawaziri, wafanyabiashara wakubwa na wengine anaoona wanaweza kuinunua Mercedes Benz.

It is important to note kwamba marketing na sales vyote lengo lake ni kuongeza revenue lakini sales ndio ultimate goal of marketing.

Turudi kwenye mfano wa apartments. Mtu wa marketing anapaswa kuingia field na kusoma mahitaji ya watu na kubuni marketing strategy ya kuwafanya wawe tayari kununua apartments.
Akishafanya hivyo successfully entrepreneur anajenga apartments na kumpa mtu wa sales uziuze.

Mtu asiyekuwa na utaalam wa marketing hana authority ya kusema kuwa product/apartments hazihitajiki.


Nafasi ya mtu wa sales inakuja baada ya kuwa product imeshakuwa designed, then anaweza kusema this particular type of apartments sitaweza kuiuza.


Taarifa yake hiyo (ya kushindwa kuuza apartments) itakuwa valid kwa aina hiyo ya apartments in that particular location na si kwa apartments zote mkoa mzima, kwa sababu kwenye real estate nyumba hiyo hiyo ikiwa just 1 km away mahitaji yake yanaweza kubadilika largely. Nyumba ambayo broker anapata shida kuiuza kwa bei fulani msasani akivuka bonde tu na kuikuta nyumba inayofanana na hiyohiyo Oysterbay anaweza kuiuza kwa bei kubwa mara tatu zaidi. Kwahiyo aliyeshindwa kuuza nyumba msasani asiseme kwamba nyumba za namna hiyo Dar es Salaam hazihitajiki!

Vilevile sales ni kipaji kama zilivyo fani nyingine. Product atakayoshindwa kuiuza broker mmoja, asishangae mwenzake akaiuza kwa mafanikio makubwa. Kwahiyo kushindwa kwake kuuza kunatoa fursa kwa broker mwingine kupewa tenda na kujitangaza.

Wito: Ndugu zangu watanzania. Hii ni dunia ya ushindani. Katika dunia ya ushindani kauli na attitude za kukata tamaa na kulalamika hazina manufaa. Mara nyingi huwa kuna options nyingi sana hazijajaribiwa kabla mtu hajasema jambo fulani haliwezekani.

Vijana tusikubali kusema neno HAIWEZEKANI kirahisi rahisi. Tena inafaa neno HAIWEZEKANI tulisahau kabisa.

Lazima tuwe wabunifu. Tuwe tayari kujifunza mambo mapya na kujaribu njia tofauti tofauti mpaka tufanikiwe. Mwisho wa kujaribu jambo unalolitaka iwe siku unayoenda kaburini, if you are still alive always try to figure out the other way you can make it happen.

Nawatakia Maadhimisho Mema ya Sikukuu ya Iddi...

by friend of mine komandoo jf member
Read More ...

0 comments

We started our own business without any money from friends, relatives or a bank loan. The reason why we started our own business was because we were desperately unemployed but again we had the vision for the future. At the beginning nothing was encouraging and nothing seemed to work. The only asset we relied upon was our own ideas and our biggest challenge was to transform those ideas into reality without any initial capital investment.
Our first idea was to start a newspaper business. We started a newspaper not because it was the best business idea but because we loved newspapers and we happened to be inspired by role models who invested in newspapers. But after one year the newspaper business collapsed and we went broke. Then I met a friend owner of Imalaseko Supermarkets and Lamada Hotels. Mr. Kishimba gave me this piece of advice “ you do not keep cows because you love seeing cows but because they give you milk”.
Do you want to start your own business?. It's very possible because you do not need a lot to start  a business. But it’s not a good idea to start a business with money from the bank as they demand high interest rates. It is important to start as small as possible; be your own boss, your own secretary, your own accountant, your own salesman and your own cashier. I once heard Rev. Getrude Rwakatare speaking in a women entrepreneurship forum and she said " when we started, I was the CEO and the school bus conductor at the sametime".
Again try to come up with business ideas which can push customers to pay you an advance before you deliver the service. Or look for products that are common and mostly demanded by customers. And if you are in the consulting business eg) IT professionals, you can ask your clients to allow you work from their offices to avoid office space rental charges.
But there is always one challenge in starting a business. I know many people would want ideas that are unique or ideas that have never been seen before. But the truth of the matter is that there are very few new ideas you can come up with unless you are the next Steve Jobs. Apart from that, when you start a business you need cash to pay for various bills so it is advised to think of a business that get you cash on daily basis as you can’t wait three month for a cheque. On top of that, avoid paying cash on services that you need for running your business, instead make use of available facillities eg) your own sitting or bed room for an office and or a hotel lounge as a meeting place for your customers depending on the type of business you are in. This model has been very successful for chinese start-ups.
Because you may not have enough money to promote your services or products, take advantage of social media including facebook and twitter. There is no cost involved in opening up a facebook page and this is the best way to start promoting your business.
Reginald Mengi owner of IPP Group ever told me that business is an organized friendship. People who know you better including your relatives, friends, schoolmates or workmates can be your first customers. Create a network of friends who will buy your products and or refer you to their networks. Through this way, it will be easy for you to penetrate the market using a network of friends who can buy your products or services as much as they trust you or they have been referred by people they trust. The same model has been agreat success for network marketing companies such as GNLD and Forever Living.
When we started the newspaper, we did not have money to employ journalists. We relied upon friends to write articles and when we started the Speakers’ Burea business , we also requested friends to volunteer speaking in our events. Again, when we started the car hire business, we didn’t own any car and we relied upon friends' cars for sub-hire whenever we got clients who wanted to hire cars from our company. I have learn't through experience that business is about networking, the more you can network, the more the potential to attract customers.
My vision is to be an industrialist because I come from an industrial background. I was groomed by a cousin brother Mr. Robert Edward owner of ALEA Properties USA who used to operate the biggest office furniture factory in East and Central Africa. Since then, I wanted to become like him and I dreamt of owning a factory one day. But opening a factory needs a lot of initial capital investment for land, machines, manpower, taxes etc. But since I was a graduate with no capital to start a business, I decided to work out an altenative route. I knew that there is always an altenative way to achieve a dream. I therefore did put a long-term plan to accumulate capital through a set of businesses that are within my reach.
One day I was invited for a radio show on Radio One Stereo and I shared a plattform with an entrepreneur who had made a fortune in electrical products under the brand known as Tropical Power products. After the show, I asked him " how did you manage to start a manufacturing firm? He replied, “We envisioned manufacturing electrical products but we didn’t have enough capital. We were two of us both graduates of the University of Dar es Salaam. We were well trained in electrical engineering and we had the know how. So we designed various types of electrical products including power cables and we registered the Tropical Power products as a global brand. We did that because we researched and found that it would have been very expensive to set up such a high-tech factory in Tanzania. We therefore negotiated with overseas manufacturers to manufacture for us on large quantity order basis and todate the business is a big success”.
Read More ...

0 comments

Watu wengi wamekuwa na shida ya kupata ama kutambua ni biashara gani inayofaa kufanya kulingana na kiasi cha pesa wanachokipata, na hili limekuwa janga kubwa idadi kubwa ya wafanyabiashara hujikuta wakianzisha biashara zisizokuwa katika mzinguko wao wa maisha ya kawaida hivyo hujikuta wanafeli na kushindwa.



Wazo la biashara sio kitu cha kumuomba mwenzako ili ufanikiwe, unaweza kumuomba mwenzako
aliboreshe lakini sio akupe wewe wazo kwa sababu kila mtu huwa ananjia zake za kukamilisha ndoto zake, hivyo mipango yake na yako inatofautiana sana. wazo la biashara yako unalo mwenyewe kichwani kwako ila unalipuuzia aidha kwa kuliona ni kubwa au hujiamini kulikamilisha.


Baadhi ya mambo ambayo unayotakiwa kuyafatilia unapotaka kuanza biashara au unapotaka kutafuta wazo la biashara zingatia sana vitu vifuatavyo


1. Elewa maana ya Biashara
Biashara ni mchezo wa kubadilishana bidhaa kwa mtindo wa pesa au kitu chochote kutoka
kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine kukiwa na thamani ya hicho kitu ndani yake.


Lakini biashara pia husimamiwa na makubaliano, wazo la muendelezo, na uwezo wa ukinzani hivyo
biashara yako inahitaji sana makubaliano kati yako wewe mwenye biashara na biashara yenyewe, na
pia inahitaji muendelezo baada ya makubaliano hayo, pia biashara yako inahitaji sana uwezo wako wa ukinzani ili kuipatia nafasi katika soko na aina ya kipengele unachohudumia.


2. Itambue Branding
Branding kwa maana moja tunaweza kusema ni muonekano wa biashara yako, branding ni muonekano wako Kuhusu biashara yako na jinsi gani biashara yako inajitofautisha na washindani wenzako.




Pamoja na hiyo maana pia brand inamisingi yake na aina zake ambapo ndani ya aina za Brand utapata uwezo wa kujitambua mwenyewe kutambua ni jinsi gani biashara yako inatakiwa iwe na pia

ni vitu gani vinafaa kwa biashara na vipi havifai kutokana na uelewa utakao kuwa nao tayari utakuwa na uwezo wa kuchagua na kuona ni biashara gani inayokufaa kwa kipengele chako. aina hizo za branding ni Brand ya mtu, bidhaa, mfumo na alama ambapo vitu hivyi huenda pamoja ili biashara ikue na kuleta mafanikio.






3. Tumia makosa ya wengine kupata nafasi
Baada ya kuelewa maana ya biashara na branding utakuwa na uwezo mzuri wa kupata wazo zuri la
biashara kutokana na kuangalia ni sehemu gani unayotaka kuanzisha hiyo biashara hivyo hizo elimu mbili zitakupa mwangaza wa kutambua ufanye nini, na kunamakosa gani ambayo ndio wewe utayarekebisha.


4. Fanya brand yako mwenyewe (personal Branding)

Ndani ya aina za Branding kuna aina nne za branding ambazo zote hutumika pamoja lakini kwa
kuanzia unaweza kuanza na brand ya mtu kwa sababu hiyo ndio inayotengeneza biashara yako
hata kabla haijaanza kufanya kazi .

Elisha Chuma: Jinsi ya kupata wazo la biashara
Read More ...

0 comments


Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe


Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ametoa siku 90 kwa matrekta yote yanayoingia Bandari ya Dar es Salaam kubeba makontena kuacha mara moja.

Dk. Mwakyembe ametoa agizo hilo jana wakati akifungua Maonyesho ya Kilimo ya Nanenane yanayofanyika kikanda jijini Mbeya yakiwa na kaulimbiu ya “Zalisha Mazao ya Kilimo na Mifugo kwa kulenga Mahitaji ya Soko”.


“Matrekta mengi nimeyaona bandarini yakitumika kubeba mizigo, kwa mfano makontena, natoa miezi mitatu kuanzia sasa matrekta yote yanayotumika bandarini yaende yanakohitajika kwenye kilimo. Ikifika Oktoba 30

mwaka huu matrekta sitaki kuyaona bandarini,”alisema Dk. Mwakyembe.

Asema serikali imeweza kufuta ushuru wa zana za kilimo kama matrekta chini ya kampeni ya Kilimo

Kwanza, lakini matrekta mengi yaliyoingizwa kuwezesha kilimo kukua yameishia kubeba mizigo bandarini.

Alisema uzalishaji wa mazao ya kilimo na mifugo katika mikoa ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ipo chini

sana ikilinganishwa na viwango vya utafiti, mfano hekta moja ya zao la mahindi inazalisha wastani wa tani tatu lakini utafiti unaonesha kwamba hekta moja ya zao la mahindi inaweza kuzalisha wastani wa tani saba za mahindi.


Alisema kwa upande wa maziwa wastani wa uzalishaji kwa ng’ombe mmoja kwa siku ni lita saba wakati kiwango kinachotakiwa kuzalishwa ni lita 20 kwa ng’ombe kwa siku.


Dk. Mwakyembe alisema upo umuhimu mkubwa wa kuyaongezea thamani mazao kwa njia ya viwanda vidogovidogo ili yauzike kwa haraka na kwa bei nzuri zaidi na kukidhi matakwa mbalimbali ya soko.


Aliongeza kuwa katika mwaka huu wa fedha serikali imeelekeza nguvu kubwa kupeleka umeme kwa wakulima kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA).


Alisema katika utekelezaji wa mradi huo vijiji 590 vya mikoa ya Mbeya, Katavi, Ruvuma, Rukwa, Njombe na Iringa vimetengewa kiasi cha Sh. bilioni 162.5 kwa miradi ya umeme ambayo utekelezaji wake

umeshaanza kwa kazi ya uteuzi wa makandarasi ambao wanatakiwa kuanza kazi ya usambazaji umeme mwezi Oktoba mwaka huu.


Alisema miradi hiyo ya umeme itachochea uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vijijini vitakavyoongeza thamani ya mazao ya wakulima na kwamba serikali imechukua hatua ya ziada ya kupunguza gharama za kufungiwa umeme vijijini kwa asilimia 70.


Aliongeza kuwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini imetengewa zaidi ya Sh. bilioni 5 kwa kazi ya kukarabati barabara vijijini, matumizi ya fedha hizo yakisimamiwa vizuri itasaidia kuleta mabadiliko katika kusafirisha mazao vijijini.


Kuhusu sekta ya uchukuzi wa anga, reli na majini, alisema serikali inaendelea kuimarisha reli ya TAZARA kwa ushirikiano wa serikali zetu mbili za Tanzania na Zambia, tuko kwenye maandalizi ya ujenzi wa reli

kutoka Uyole kwenda Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira, kuunganisha Tunduma na bandari ya Kasanga katika Ziwa Tanganyika.


Kazi nyingine ni kuimarisha reli kutoka Tabora hadi Mpanda na kuiendeleza reli hiyo hadi bandari ndogo ya Kalema kwenye Ziwa Tanganyika pamoja na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kwenye mikoa ya Ruvuma na Iringa, na barabara ya kuunganisha mikoa ya Rukwa, Katavi na Mbeya.




CHANZO: NIPASHE JUMAPILI
Read More ...

0 comments



Mawasiliano bora  ni muhimu sana kwa mafanikio yetu katika nyanja mbalimbali.  Kama hatuna mawasiliano yaliyobora au hatuwezi kuwasiliana inavyotakiwa basi itakuwa ngumu kwa watu wengine kutusaidia katika kile tunachokihitaji.  Mawasiliano yasiyo bora au kushindwa kuwasiliana vema kunadumaza na mara nyingine kuua  kabisa mahusiano baina yetu na wengine.  Kwa  maana hii basi hauna budi kuzingatia sana maelezo na ushauri kutoka katika mada hii na kuyaweka maelezo haya katika matendo ili yakusaidie maishani.
Vitu vya kuzingatia.
  1. Yatazame au yachukulie mazungumzo yako na wale unaohusiana nao kama majadiliano ya kawaida tu na sio mashindano.
Hii itakusaidia kuwa na mahusiano na mawasiliano bora na wengine hususani pale utakapoyaona yale mnayozungumza mara kwa mara kama majadiliano na siyo mashindano. Majadiliano ni mazungumzo yenye kusudi la kufikia suluhisho au muafaka fulani.  Ni mazungumzo ambayo yanapotumika nia yake siyo kumuumiza, kumuumbua mtu bali kutoa nafasi kwa pande zote kufikia matokeo bora. 
Mazungumzo ya yenye ushindani ni yale yenye nia ya kuumiza, kuumbua, kuaibisha, na kudharaulisha, na ambayo nia yake ni kumuonyesha mshindi na aliyeshindwa mwishoni mwa mazungumzo hayo.
Wale wenye tabia ya kuzungumza kiushindani huyachukulia mazungumzo kama nafasi ya kuonyesha ubabe au kunyanyasa wengine. Hata kama  yule mnayezungumza naye ana nia ya mashindano, wewe fanya majadiliano ya kawaida ili taratibu uweze kumbadilisha mtazamo wake.
  1. Kuwa msikilizaji makini na hitaji kusikilizwa pia
Kati ya alama za uonyesha kuwa wewe ni mwenye mawasiliano bora ni pamoja na uwezo wa kuwa msikilizaji mzuri.  Wako watu ambao hupenda kuongea tu na sio kusikiliza.  Sambamba na hilo, unatakiwa kuomba na wewe pia usikilizwe vizuri. Muombe yule anayekusikiliza akuache umalize kuongea ndio na yeye aanze kuongea.  Kamwe hamtafikia muafaka wowote ikiwa wote wawili mnaongea kwa wakati  mmoja.
Yafuatayo yatakuwezesha kuwa msikilizaji mzuri
-          Msikilize yule anaeongea kwanza na kumuelewa
-          Fahamu fika kile kinachozungumzwa elewa nia na dhumuni la majadiliano
-          Uliza swali pale unapodhani hujaelewa ili uweze kuelewa vema nia ya mzungumzaji
-          Jaribu kuweka kwa kifupi au kwa muhtasari kile kilichozungumzwa, mweleze anayezungumza unavyojihisi juu ya  alichokuwa akikieleza, na hakikisha  ulimuelewa vema.
-          Eleza unavyofikiri wewe.  Mweleze aliyekuwa anazungumza kama umekubaliana nae au la, toa sababu za kukubaliana au kutokukubaliana.
  1. Kuwa mzungumzaji mwenye ujasiri.
ujasiri katika mazungumzo huchochea uhalisi na kuaminika katika kile unachokisema.
Zifuatazo ni tabia za mzungumzaji bora;
a)      Tumia sentensi zinazokuelekea wewe zaidi ya sentensi zinazo waelekea wengine. Jilenge wewe zaidi ya kuwalenga wenzako unapozungumza. unapotumia sentensi za “ninyi” au “wewe” mara nyingi unaweza kuonekana usiye na ujasiri, tofauti na pale unapotumia sentensi zenye “mimi”. Unaweza kuonekana pia kama usiye yaamini  maneno yako.
      Sentensi zenye ujasiri na zenye kukulenga wewe binafsi ni kama vile
 “nimefurahi kukuona”
 “Ningependa kuzungumza na wewe”   
“Sijafurahishwa na maneno yako”
b)      Katika  mazungumzo yako tumia zaidi sentensi na siyo maswali. Hii itakuwezesha pia kuonyesha kuwa unaujasiri katika kile  unachokisema na unajiamini  wewe mwenyewe pia.
Mfano wa mazungumzo yakutumia swali: “Hivi ninyi mnamwonaje yule rafiki yetu?”
Badala yake  ungetekiwa kusema “mimi sifurahishwi na matendo ya huyu rafiki yetu”
Au maranyingine baba wa nyumba anapouliza “Hivi mnadhani nani baba humu ndani?” hii huonyesha kutojiamini kwake
“Hivi unafikiri mimi njinga?”
“Hivi jamani  sisi hatupewi huduma?”
Namna nyingine bora zaidi ya kuuliza swali
-          Je waweza kunisaidia tafadhali?
-          Je utakubali kuoana na mimi?
       Namna bora ya kuzungumza katika sentensi
-          nitafurahi sana ikiwa utakubali kuoana namimi.
-          Nitafurahi sana kupata msaada kutoka kwako
c)      Tumia zaidi sentensi zenye “kukiri” na sio sentensi zenye lawama. Sentensi zenye ukiri au kukiri ni zile ambazo anayezungumza anasema kile ambacho angetaka aone kikifanyika au kile ambacho angependa akione kikitendeka.
Kinyume chake ni sentensi zenye lawama; hizi ni zile ambazo mzungumzaji ana sema kile asichotaka, au kile asichokipenda kitokee au kifanyike.
Mfano wa sentensi zenye lawama:
·         Sipendi kabisa vile unavyonichukulia
·         Sipendi kabisa unavyoniingilia katika maongezi
Mfano wa sentesi zenye kukiri; “Ningefurahi kama ungesubiri nimalize kwanza kuongea  halafu na wewe utaongea”
Sentensi zenye lawama huonyesha ukosefu wa ujasiri kwa mzungumzaji,  mbaya zaidi, sentensi hizi hazisaidii chochote katika kubadili tabia ya yule anayeambiwa maana hazionyeshi bayana ni nini kinachotakiwa kufanyika.
Sentensi zenye lawama pia huonyesha wazi tabia yako sugu ya kulaumu, pia huonyesha vitu usivyovipenda tu, na kuvisahau vile vizuri unavyovipenda.  Ni ngumu sana kumsaidia mtu ambaye analaumu usiku na mchana kuwa hapendi hiki, hapendi kile, hataki hiki na wala hataki kile na bado hawezi kusema anapenda au kutaka nini badala yake.  Kwa hali hii watu hawa wanabaki kuwa walaumu mara dufu.
  1. Lugha ya  mwili wako iwe nzuri (Positive Body language)
Lugha ya mwili ni vile tunavyoweza kutumia miili yetu kuonyesha nia zetu.  Mwili ni kiungo muhimu sana cha mawasiliano.  Tafiti zinasema kwamba, hata wakati mtu anazungumza kupitia mdomo, asilimia 60 (sitini) ya ujumbe wake kupitia au kueleweka sio kwa kupitia maneno ya kinywani mwake bali ni kwa kupitia lugha ya mwili wake.  Jambo hili ndilo hutiliwa  mkazo na ule usemi usemao “matendo husungumza zaidi kuliko maneno”
Lugha ya mwili huusisha vitu kama vile; muonekano wa sura (facial impression), mikunjo ya uso, macho yalivyowekwa, kinywa kilivyo tumiwa, pua inavyofanywa wakati wa kuongea, mikono na pozi ya mwili ilivyo wakati wa kuzungumza.
Ni vema kujikumbusha kila wakati kuhusu umuhimu wa lugha ya mwili ili itusaidie kujijua sisi wenyewe na ule ujumbe tunaoutuma.
Hapa nataka kujaribu kueleza baadhi ya maeneo ya lugha ya mwili ambayo yatakusaidia kuweza kubadilika au kujirekebisha katika mchakato mzima wa mawasiliano kupitia mwili wako.
a)      Kutembea kwa hatua za kudunda au kunesa
Kutembea huku kuwasilisha hisia za ujasiri. Tabia hii huweza kuwa ya asili au ya kujifanyisha hususani apale unapodhani kuwa unachofanya ni cha muhimu zaidi na unapoamini kuwa wewe ni bora zaidi. Kutembea kwako kwaweza kuonyesha  kila kinachoendelea akilini mwako.
b)     Kupanda au kushuka, uzito au wepesi wa sauti unapoongea (Tone of voice)
Pale unapojua hauna ugomvi au uadui na yeyote basi sauti yako itakuwa nzuri, na yakiasi cha kusikika na yeyote.  Vituo vyako na misemo yako itakuwa ya kawaida na yenye uwiano. Pale unapohisi hofu, au kuwepo kwa wabaya wako, mara nyingi sauti yako huwa chini na isiyo na ujasiri.
Unashauriwa kwa hali yoyote ujitahidi kuzungumza kwa sauti ya kati, isiyo chini sana wala juu sana.
c)      Mavazi sahihi
Unapohisi una nafasi fulani katika jamii au sehemu fulani utajikuta unajali sana   suala la kuvaa kwako. Mavazi huweza kuzungumza nia ya moyo na huweza kuonyesha picha mbaya au nzuri kwa wanao kutazama. Mavazi ya aina fulani huweza kukupa tafsiri mbaya kwa watu tofauti na vile ulivyo kihalisia, au kwa upande mwingine mavazi mengine yamefanya wengine kuonekana kama vile ni wa maana sana na wakutegemewa wakati uhalisi haukuwa hivyo
d)     Pozi zuri la mwili
Kuketi au kutembea katika mwili ulionyooka huonyesha ujasiri.  Hii inamaana kifua kinakuwa mbele na tumbo ndani kidogo.  Hata askari waliojasiri huwa hulazimika kuwa katika pozi hili.  Pozi zuri ni ishara ya ukakamavu na afya njema pia.
e)      Muonekano wa macho
Muonekano wetu machoni huweza huonyesha hofu, aibu au ujasiri, hususani tunapokutwa katika maeneo au matukio ambayo hatukutarajia. Muonekano wa macho huthibitisha ukweli au uongo wa kile tunachozungumza.  Muonekano wa macho yetu huweza pia kuthibitisha kumaanisha au kutokumaanisha, uhakika au kutokuwa na uhakika katika kile tunachokizungumza. Wako wengine wasioweza kamwe kuwatazama machoni wale wanaowahofia au kuwaogopa. 
f)       Ukaribu au mgusano
Tabia ya kujitenga na wengine huweza kumaanisha kujikweza au kukosa ujasiri.  Jaribu kuwa karibu na wengine zaidi kadri utamaduni wa jamii uliyopo unavyokuruhusu.  Kama kukumbatia kunaruhusiwa katika jamii yako fanya hivo, kama kushika mkono ndio kunakoruhusiwa basi hakikisha unafanya hivyo, mara kwa mara. Mgusano wa mwili unamaana kubwa sana katika kuongeza ukaribu baina ya watu.
g)      Ishara za mwili (gestures)
Tumia ishara unapoongea. Mfano tumia mikono, tumia kichwa na macho kusisitiza unachoongea.  Kuongea tu kwa madomo pasipo kiungo chochote cha mwili, hufanya mazungumzo yako huwa butu sana.  Ishara za mwili tunazitumia kusisitiza au kuthibitisha tunachokiongea.  Ishara hizi za mwili zitumike taratibu, zisizidishwe sana maana na zaweza kuwabughudhi wengine.
Chris Mauki
Social, Relationship and Counseling Psychologist
E-mail: chrismauki57@gmail.com
Read More ...

0 comments

 

UJASIRIAMALI---UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJI

Idadi ya wanyama wanaofugwa kwa chakula imezidi ile ya binadamu zaidi ya mara mbili kote ulimwenguni. Kuna maelfu ya wanyama kote duniani ilihali ni wachache tu wanaoweza kufugwa. Kati ya hawa wanyama, ni aina nne (Ng'ombe, kondoo, mbuzi na kuku) wanaochukua asilimia 95% ya wanyama wote wanaofugwa. Wanyama hawa hupatikana katika nchi za hari kwenye nyanda za chini. Lakini kati ya mifugo hawa, kuku ni maarufu katika nchi za hari na hata kote ulimwenguni.Lengo la makala haya ni kutoa maelezo ili kusaidia wafugaji wa kiwango kidogo katika nchi
zinazostawi, katika kupunguza umaskini. Sehemu ya kwanza (I) itatoa maelezo kuhusu ufugaji na
hasa ufugaji wa kuku, Sehemu ya pili (II) itaangazia maswala yafuatayo katika kuinua hali ya uchumi
kwa kufuga kuku:
1. Kuendeleza ufugaji wa kuku za kienyeji kwa kutumia njia zisizohitaji gharama nyingi.
2. Kutafuta mbinu na njia muafaka za kuzalisha viwango vya kuku bora kwa njia ya kiasili.
3. Matumizi ya njia za kiasili au zile zisizo gharimu pesa nyingi kutibu na kuzuia magonjwa ya
kuku.
SEHEMU YA I: MAELEZO KUHUSU UFUGAJI WA KUKU KATIKA NCHI
ZINAZOENDELEA
NAFASI YA MIFUGO
Licha ya kukosa mashamba makubwa ya kuendeleza ufugaji wa ng'ombe, jamii nyingi katika nchi za
hari (tropics) hupata nafasi ya kufuga kuku kwa kiwango kidogo. Idadi ya wanyama wanaofugwa
huongezeka sambamba na ile ya watu. Idadi ya watu inapoongezeka ndipo ile ya mifugo huzidi.
Idadi kubwa ya watu huhitaji chakula kingi na matumizi huongezeka, hivyo basi watu hufanya bidii
kuzalisha chakula na mapato kutoka kwa shamba.
Ufugaji wa ng'ombe na wanyama wanaohitaji lishe kwa wingi huhitaji kiasi kikubwa cha shamba ili
kupanda mimea na lishe la mifugo. Ukilinganisha na ufugaji wa kuku, utahitaji mabaki ya vyakula
na sehemu ndogo ya shamba. Ufugaji wa kuku umeweza kunawiri hata pasipo fedha.
Katika nchi za hari ufugaji wa kienyeji hautahitaji kazi nyingi, kazi hii hufanywa na akina mama na
watoto. Kwa kawaida katika nchi hizi kazi nyingi za nyumbani hutekelezwa na mama. Vyakula vya
kuku vyaweza kutoka kwa: 1) Mabaki ya chakula, 2) Mabaki ya mimea, 3) Mabaki kutoka jikoni
na 4) Vyakula vya kujitafutia (kwa mfano kwekwe, mbegu, wadudu, nyongonyongo, n.k). Mfumo
wa kufuga kuku kwa njia ya kienyeji hutumia viungo vinavyopatikana kwa urahisi na kuimarisha hali
ya kiuchumi na chakula bora kwa jamii.
Ni muhimu sana kufuga mifugo hata ikiwa ni kwa kiwango kidogo kwa sababu ya 1) Chakula bora
na kuongeza mapato ya jamii kwa viwango vya kuridhisha; 2) Mifugo ni hakiba au banki, faida yake
huzaana tu kama riba ya benki; 3) Mifugo yaweza kuuzwa ili kugharamia karo ya wanafunzi,
malipo ya hospitali, gharama nyingine za nyumbani na hata shambani; 4) Kwa matumizi ya kijamii
(kwa mfano kulipia mahari, shughuli za kidini, n.k); 5) Mifugo husaidia katika kukabili wadudu,
kwekwe na kuimarisha rutuba kutokana na mbolea ya kinyesi. Ni bayana kwamba mifugo ni
muhimu sana kwa mkulima yeyote yule.
UMUHIMU WA UFUGAJI WA NJIA YA KIENYEJI
Ufugaji wa kuku katika nchi zinazostawi waweza kugawanywa mara mbili: 1) Ufugaji wa
kitamaduni au kienyeji pasipo kuwepo gharama, na 2) Ufugaji wa kisasa unaohitaji fedha nyingi.
Ufugaji wa viwango vikubwa kwa kuzingatia mfumo wa kisasa ni maarufu katika kuzalisha kuku wa
nyama na wale wa mayai. Mfumo huu hujumuisha asilimia ndogo sana ya aina ya ufugaji.
Itafahamika kwamba mfumo wa kisasa haujaadhiri ule wa kienyeji. Idadi kubwa ya watu katika nchi
za hari hutegemea mfumo wa kienyeji kwa nyama na mayai.
Mfumo wa kisasa huhitaji pesa nyingi za kununua vyakula vya kuku. Aidha mfumo wa kisasa huhitaji kazi nyingi ili kutekeleza. Mfumo wa kisasa
umefaulu katika nchi zilizostawi kutokana na hali nzuri ya kiuchumi katika kuzalisha (kuku wa hali
ya juu, kuangua vifaranga kwa stima, vyakula vilivyo na madini mengi, vifaa na zana za mashine,
utaalamu wa hali ya juu n.k). Haitafaa sana kuanzisha mfumo kama huu katika vijiji vya mataifa
yanayostawi.
"Mageuzi" katika ufugaji (kuambatanisha mfumo wa kisasa pamoja na ule wa kienyeji) yamefanyiwa
majaribio katika mataifa yanayostawi tangu miaka ya 1950. Matokeo ya kuku wapatao 200 hadi 300
kwa shamba moja hayajawai kufaulu. Hasara imepatikana na waweza kuona nyumba zilizokuwa na
kuku bila chochote, pesa nyingi zimepotea na kuku hawapo.
Mfumo wa kienyeji ni bora (Katika hali ya kiuchumi) iwapo idadi ya kuku haitazidi kuku 50. Ni
rahisi kuweza kuwatunza kuku, kwani hakuna gharama nyingi. Iwapo vyakula au zana za kisasa
zitanunuliwa, basi haitakuwa kwa viwango vikubwa. Mazao ya nyama na mayai yataleta faida.
Sehemu nyingi katika mataifa yanayostawi hakuna stima, katika nchi za hari, ufugaji kwa kiwango
kidogo umeweza kufaulu na kuimarisha uchumi.
FAIDA ZA UFUGAJI WA KUKU KWA NJIA YA KIENYEJI
Faida za uzalishaji kuku ili kuimarisha uchumi kwa njia hii zimepuuzwa na viongozi na wafadhili.
Kuku huleta faida kwa jamii kama tulivyoona katika sehemu ya I. Zaidi ya hayo, ufugaji wa kuku waweza kuimarishwa pasipo gharama nyingi ukilinganisha na mifugo wengine.
· Hutupatia fedha kwa kuuza nyama na mayai
· Mayai ni chakula kilicho na madini muhimu na kisicho ghali katika soko lolote. (madini kama methionine na cystine), madini haya ni muhimu sana kwa afya ya watu hasa watoto wachanga. Pia hutupatia protini.
· Kinyesi cha kuku ni mbolea safi
· Kiwanda asilia cha kutotoa vifaranga
· Gharama za kuanzisha na kuendeleza ni nyepesi
· Kitoweo chepesi na rahisi kwa wageni, kitoweo hakihitaji hifadhi hutumika mlo mmoja au miwili na kumalizika
· Jogoo hutumika kama saa inapowika
· Manyoya ya kuku hutumika kutengenezwa mapambo mbalimbali, mito na magodoro
· Kuku wanahisimu wadudu waharibifu
Kuku ndiye mnyama wa kipekee anayeweza kuishi mahali popote hapa ulimwenguni bila kuadhiriwa
na viwango vya hali ya hewa. Ufugaji wa kuku ndio shughuli inayofanyika kwa wingi duniani kuliko ufugaji wa aina yeyote. Kuku hunawiri vyema katika nchi za hari kutokana na uwiano uliopatikana wakati wa mwanzo binadamu alipofuga Asian jungle fowl aina ya kuku-mwitu. Mayai pia yaweza kuhifadhiwa kwa urahisi na huchukua nafasi ndogo kuliko aina ya bidhaa zozote za mifugo. Mayai yaweza kuwekwa mahali kwa muda mrefu bila kuhitaji barafu. Hautahitaji kuhifadhi kuku kwa njia yoyote, kwani nyama yake hupatikana pale unapohitaji kwa kuchinja.
Upungufu wa kuku wa kigeni ukilinganisha na wale wa kienyeji ni kama ufuatao:
• Kuku wa kigeni hawawezi kukalia na kuangua mayai, hivyo basi wahitajika kununua vifaranga (gharama);
• Vifaranga wa kigeni huhitaji utunzaji maalum na vyakula maalum (gharama);
• Kuku waliozalishwa kwa njia ya kisasa huhitaji chakula kingi ili kutaga mayai (gharama);
• Kuku wa kisasa huhitaji zaidi kuchanjwa dhidi ya magonjwa (gharama)ukilinganisha na wa kienyeji (japo nao huhitaji chanjo);
• Kuku wa kutaga mayai huhitaji mwangaza wa stima (saa 14 kwa siku) ili kutaga mayai (gharama)
Kwa kuongezea, rangi ya nyama na mayai ya kuku wa kienyeji huvutia kuliko ile ya kuku wa kisasa.
Hivyo basi jaribu kuendeleza na kuhimiza ufugaji wa kuku za kienyeji.
Iwapo mkulima ana jogoo mmoja na kuku kumi na mbili, basi kila mwezi waweza kupata kuku
akikalia mayai 10-12 kwa mwezi (mayai yote kwa wakati mwingi hayataanguliwa) kuna hakikisho la
kupata vifaranga vinne kila mwezi. Kuku mzima atachukua miezi minne kuchunga vifaranga
walioanguliwa. Kwa hivyo, kati ya kuku wote kumi na mbili kila mara kutakuwa na kuku wanne
wakitunza vifaranga, huku wale wengine wanane wakitaga mayai.
Kuku waliofugwa kwa njia ya kitamaduni hupata vyakula vyao kwa kutafuta mbegu, wadudu
nyongonyongo, n.k; Lakini kuku hawa hukosa vyakula vya kutosha vilivyo na nguvu ili waweze
kutaga mayai. Vyakula vya kutoa nguvu daima huwa ni haba.
Waweza kuwalisha kuku kwa nafaka ili wapate chakula cha nguvu (mfano kilo moja ya nafaka
iliyopondwa kila siku kwa kuku 10), nafaka hii yapaswa kuwa kavu. Vifaranga wapewe kiasi kidogo
cha nafaka au mchele wiki za kwanza. Kuku wanaolishwa nafaka baada ya kujitafutia chakula nje
huongeza idadi ya mayai (kutoka asilimia 20-25% hadi 40-50%). Kuna umuhimu wa kuhifadhi
nafaka kama lishe badala ya kuuza kwani utapata mayai mengi ambayo baadaye utaweza kuuza.
Hautahitaji kununua vyakula vya protini kwani kuku hujitafutia lishe la protini.
Ikiwa hauna nafaka, waweza kutumia vyakula vya mzizi au ndizi. Vyakula vya aina hii hata hivyo,
huwatatiza kuku wanapovitonogoa, kiwango cha mayai sio kikubwa kama cha wale wanaolishwa
nafaka.
Kwa kuwalisha kuku kwa nafaka utapata hakikisho la mayai manne kwa siku kutoka kwa wale kuku
wanane. Iwapo hakuna nafaka, kati ya kuku wanane wanaotaga utapata mayai mawili tu kwa siku.
Ni bora kutumia nafaka hii kama lishe kuliko kuuza na hatimaye kununua vyakula vya dukani.
Kuku kumi na mbili na jogoo mmoja wanaolishwa kwa kilo moja ya nafaka kila siku waweza
kuelezwa hivi:
• Waweza kuuza kuku wanne kila mwezi na kujaza pengo hilo na wale vifaranga (vifaranga
wanne huanguliwa kila mwezi) na
• Dazani kumi za mayai kila mwezi (mayai manne kila siku).
Kwa mwaka mmoja waweza kukadiri ile faida utakayopata na vile hali ya kiuchumi yaweza
kuinuliwa katika mataifa yanayostawi.
Hata hivyo faida hii haitaafikiwa iwapo magonjwa
hayatazuiwa au kukabiliwa kama ifuatavyo.
TEKELEZA UTARATIBU WA KUZUIA MAGONJWA
Magonjwa ndio husababisha hasara katika mfumo wa ufugaji wa kuku. Kuku waliochanjwa dhidi ya
magonjwa hudumisha afya bora. Jaribu kila mara kuzuia magonjwa, kwani kuzuia ni bora kuliko
kuponya. Kinga yaweza kutolewa mara kwa mara (kila baada ya miezi mitatu) dhidi ya magonjwa
yafuatayo:
Ugonjwa wa Newcastle
Ugonjwa huu ndio huadhiri kuku na kusababisha hasara katika nchi za hari. Virusi vya ugonjwa huu
huenea kwa kasi na rahisi kiasi cha kusababisha vifo kwa asilimia 100%. Dalili za kwanza ni shida
ya kupumua na kung'amua hewa, sauti kama ya kikohozi na kutokwa mate. Kinyesi chaweza kuwa
na rangi ya kijani kibichi. Hadi sasa hakuna dawa.
Waweza kuzuia ugonjwa huu kwa kutoa chanjo. Dawa za chanjo hupatikana kote ulimwenguni hata
katika nchi za hari kwenye vipimo vya vitone mia moja. Madawa haya yaweza kuhifadhiwa kwa
muda. Waweza kuweka kwa wiki moja mbali na jua au joto kali (Chanjo hii ni ya kipekee, kwani
aina nyingine ya chanjo huwekwa kwa friji). Waweza kutoa chanjo kwa kutia vitone kwenye
mdomo. Kuku wote (wakubwa kwa wadogo) wapaswa kupewa chanjo baada ya kila miezi mitatu.
Minyoo
Minyoo kama chango (roundworms) na tegu (tapeworms) huadhiri kuku wa kienyeji. Kuku hukosa hamu ya chakula, mayai hupungua na magonjwa mengine hushambulia. Ni bora basi kutoa minyoo.
Mchanganyiko wa madawa ya aina tatu ndio hutumiwa kuangamiza minyoo, madawa haya ni
piperazine, phenothiazine na butynorate. Madawa haya hupatikana kama vidonge (tumia kidonge 1
kwa kuku mzima na 1/2 kwa vifaranga). Iwapo hautapata dawa hii, waweza kutumia Panacur au
dawa nyingine ya kuangamiza minyoo. Wapatie kuku dawa ya minyoo kila baada ya miezi mitatu.
Wadudu
Wadudu kama chawa au utitiri husumbua kuku katika ufugaji wa kienyeji. Chawa au utitiri
husababisha harara ya ngozi, kuku walio adhiriwa hupata shida na kukosa usingizi. Hali hii
hupunguza kiwango cha mayai na uzito wa kuku.
Tumia asilimia 5% ya unga wa malathion kwa kupulizia kuku (puliza kwa chupa uliyo toboa
mashimo) pulizia kila kuku ili kuzuia chawa na utitiri (kilo moja ya unga huu yaweza kutibu kuku
150). Pulizia dawa hii baada ya kila miezi mitatu, waweza kupuliza kwa wakati mmoja wa kutoa
chanjo na dawa zilizotajwa hapo juu. Puliza unga huu pia kwenye viota vya kuangulia mayai.
Waweza kutayarisha 5% ya malathion kwa kuchanganya 25% ya unga wa malathion (kiwango cha
kilimo) na sehemu nne za jivu kutoka jikoni.
Magonjwa ya mapafu
Magonjwa ya mapafu huadhiri njia inayopitisha hewa na kuambatanisha mate na sauti kama ya
kikohozi. Ugonjwa huu huenea polepole. Uambukizanaji pia hutokea kwa polepole na vifo sio kwa
wingi. Hata hivyo, kutaga mayai na uzito hupungua. Shida hii yaweza kusambaa hata kutoka mahali vifaranga huanguliwa hadi pale walipouzwa.
Tylosin19 ndio dawa inayoweza kutibu magonjwa ya mapafu. Kiasi cha 35mg ya tylosin hutosha
kuku mmoja (kiwango hiki hufaa kuku na hata vifaranga) dawa hii husimamisha madhara kutokana
na magonjwa ya mapafu. Tibu kuku kila baada ya miezi mitatu, waweza kutekeleza kwa wakati
mmoja wa kutoa kinga na kuangamiza minyoo. Tylosin hupatikana kwa pakiti ndogo ya 4gm.
Waweza kutayarisha dawa hii kwa kutumia maji na 35gm ya tylosin (gramu nne kwa vikombe viwili
vya maji), kiasi hiki chaweza kutolewa kwa vitone kwa kila kuku.
.............................. ....//.............................. .
KWA UFUPI (SUMMARY)
Kabila za Kuku
Si rahisi kupata kabila halisi (pure breed) au kizazi halisi (pure line) za kuku wa kienyeji kutokana na mwingiliano wa vizazi kati ya aina mbalimbali za kuku hao. Lakini hata hivyo baadhi ya kuku wa kienyeji wanaweza kutambuliwa kutokana na maumbile yao kwa mfano
1. Kuchi



  • Warefuna wenye kusimama mgongo ukiwa wima
  • Wana manyoya machache mwilini na vilemba vyao ni vidogo
  • Majogoo huwa na wastani wa kilo 2.5 na mitetea kilo 1.8
  • Mayai gram 45

2. Ching'wekwe (Umbo dogo)

  • Hupatikana zaidi Morogoro na umasaini
  • Majogoo kilo 1.6
  • Mitetea kilo 1.2
  • Yai gram 37
  • kuku hawa wanafaa sana kwa biashara ya mayai kwa kuwa hutaga mayai mengi sana.

3. Umbo la Kati

  • Majogoo kilo 1.9
  • Mitetea kilo 1.1
  • Mayai gramu 43
  • Hukua upesi na hupata kinga upesi baada ya kuwachanja dhidi ya ugonjwa wa Mdondo (New Castle)

4. Singamagazi

  • Hupatikana zaidi Tabora
  • Majogoo wana rangi ya moto na mitetea rangi ya nyuki
  • Majogoo kilo 2.9
  • Mitetea kilo 2
  • Mayai gramu 56

5. Mbeya

  • Wanapatikana Ileje Mbeya na asili yao ni Malawi
  • Mjogoo kilo 3
  • Mitetea kilo 2
  • Mayai gramu 49
  • Uwezo wao wa kuatamia mayai na kuangua ni mdogo sana ukilinganisha na kuku wengine

6. Pemba

  • Maumbo ya wastani na miili myembamba
  • majogoo kilo 1.5
  • mitetea kilo 1
  • mayai gramu 42

7. Unguja

  • Hawatofautiani sana na wa Pemba
  • Vilemba vyake ni mchanganyiko- vidogo an vikubwa
  • Majogoo kilo 1.6
  • Mitetea kilo 1.2
  • Mayai gramu 42

SIFA WA KUKU WA KIENYEJI

  1. Wastahimilivu wa Magonjwa
  2. Wana uwezo wa kujitafutia chakula
  3. Huatamia, kutotoa na kulea vifaranga
  4. Wanastahimili mazingira magumu(ukame, baridi n.k)
  5. Nyama yake ina ladha nzuri

KATIKA KUWAENDELEZA KUKU WA KIENYEJI NI VYEMA

  1. Wajengewe nyumba bora
  2. Wapewe kinga dhidi ya ugonjwa wa Mdondo (New Castle), Ndui (Fowl Pox) pamoja na kinga ya minyoo.
  3. Malezi bora ya vifaranga
  4. Kuwapatia chakula cha ziada pamoja na maji ya kunywa ya kutosha.

NYUMBA BORA
Eneo inapojengwa nyumba au banda la kuku liwe

  • Linafikika kwa urahisi
  • Limeinuka juu pasituame maji
  • Pasiwe na pepo zinazovuma

Vifaa kama miti, nyasi, makuti, fito, udongo mabanzi ya miti, cement, mabati n.k
Sifa za Nyumba Bora ya Kuku

  • Paa imara lisilovuja
  • Kuta zisiwe na nyufa
  • Sakafu isiwe na nyufa
  • Madirisha ya kutosha kupitisha hewa
  • Iwe na mlango wa kuingia kufanya usafi
  • Iwe na ukubwa (nafasi) unaolingana na idadi ya kuku. Wastani wa kuku 10-15 kwa mita moja mraba

Mambo muhimu ndani ya nyumba

  • Chaga za kulalia kuku
  • Sakafu iwekwe maranda (wood shavings), makapi ya mpunga, n.k
  • Viota vya kutagia mayai sentimita 35x35x35 na idadi ya viota iwe nusu ya idadi ya kuku waliofikia hatua ya kutaga na viwekwe sehemu iliyojificha (faragha)

UATAMIAJI WA MAYAI
Kuna njia 2

  • Njia ya kubuni (incubators)
  • Asili

Kumuandaa kuku anayeatamia

  • Weka maranda au majani makavu ndani ya kiota
  • Anapokaribia kuatamia toa mayai ndani ya kiota pamoja na maranda, hakikisha mikono haina manukato
  • Nyunyiza dawa ya kuua wadudu (viroboto, utitiri n.k) ndani ya kiota, pia mnyunyizie dawa kuku anayetarajia kulalia mayai
  • Rudisha mayai kwenye kiota ili kuku aanze kuatamia
  • Kwa kawaida kuku hulalia mayai yake kwa muda wa siku 21 ndipo huanguliwa

ULEAJI WA VIFARANGA
Kuna njia mbili

  • Njia ya kubuni
  • Njia ya asili

Njia ya ASILI
Kuku mwenyewe hutembea na vifaranga akivisaidia kutafuta chakula. Ni vizuri kumtenga kuku mwenye vifaranga katika chumba chake pekee ili vifaranga wasishambuliwe na kuku wengine hali kadhalika kuwalinda na wanyama na ndege wanaoshambulia vifaranga.
Njia ya KUBUNI
Vifaranga huwekwa kwa pamoja kwenye chumba maalum na kupatiwa joto maalum, chakula pamoja na maji. Tumia taa ya kandili (chemli), umeme au jiko la mkaa na hiyo taa iweke kwenye mzingo(mduara) walipo vifaranga. Pia kuna kifaa kinaitwa Kinondoni Brooder ni kizuri kwa kutunzia vifaranga. Kwa kutumia kifaa hiki kuku wanaweza kunyang'anywa vifaranga vyao mara tu baada ya kutotoa na kuviweka kwenye hii brooder na hao kuku wakaachwa bila vifaranga vyao, baada ya majuma matatu au manne, kuku hao huanza tena utagaji na kuendelea na uatamiaji hadi kutotoa tena. Kwa mtindo huu kuku anaweza kutotoa mara 5-6 badala ya kama ilivyo sasa mara 2-3 kwa mwaka. Vifaranga vikae ndani ya brooder majuma 3-4 na baadaye fungua milango ya brooder kuruhusu vifaranga vitoke na kuzungukazunguka chumbani bila kuvitoa nje kw kipindi cha mwezi mmoja au zaidi kutegemeana na mazingira.
KULISHA KUKU WA KIENYEJI
Kuku mkubwa huhitaji gramu 120 za chakula kwa siku, ni vizuri kuku wanaofugwa huria (free range) kupatiwa chakula cha ziada gramu 30 kila siku nyakati za jioni.
Kuku walishwe

  • Mizizi-mihogo, viazi vitamu, mbatata, magimbi, n.k
  • Nafaka-mahindi, Mpunga, Mtama, Ulezi na Pumba za nafaka zote
  • Mboga-Mikundekunde, nyanya, milonge, majani ya mapapai
  • Matunda-Mapapai, maembe, n.k
  • Mbegu za Mafuta-Karanga, ufuta, mashudu ya pamba, alizeti, n.k
  • Unga wa dagaa
  • Maji

KUCHANGANYA CHAKULA CHA KUKU

  • Pumba.............kilo20
  • Mashudu ya Pamba n.k...kilo 3
  • Dagaa iliyosagwa.........kilo 1
  • Unga wa majani uliokaushwa kivulini na kusagwa........kilo 2
  • Unga wa Mifupa ..........kilo 0.25
  • Chokaa ya mifugo ........kilo 0.25
  • Chumvi........................ gramu 30
  • Vichanganyio/Premix...gramu 25

KUPANDISHA

  • Uwiano wa mitetea na jogoo ni mitetea 10-12 kwa jogoo mmoja
  • Sifa za mtetea ni mkubwa kiumbo, mtagaji mayai mengi, muatamiaji mzuri na mlezi wa vifaranga
  • Sifa za jogoo ni awe mkubwa kiumbo, miguru imara na yenye nguvu, mrefu, upanga/kilemba kikubwa, awe na uwezo wa kuitia chakula mitetea na awe na tabia ya kupenda vifaranga
  • Jogoo huanza kupanda akiwa na umri wa miezi 7-10 na kuendelea hadi miaka mitatu na asipande watoto wake
  • Mitetea huanza kutaga wakiwa na miezi 6-8

MAGONJWA YA KUKU
1. Mdondo/New castle
Virus vinavyosababisha ugonjwa huu huenezwa kwa hewa
Dalili

  • Kuhalisha choo cha kijani na njano
  • Kukohoa na kupumua kwa shida
  • Kupinda shingo kwa nyuma
  • Kuficha kichwa katikati ya miguu
  • Kukosa hamu ya kula na kunywa
  • Idadi kubwa ya vifo hadi 90%

Kinga

  • Chanjo (New Castle vaccine) kwa mpango wa siku 3, wiki 3, miezi 3
  • Epuka kuingiza kuku wageni
  • Choma au fukie mizoga ya kuku waliokufa kwa ugonjwa
  • Zingatia usafi wa mazingira

NDUIYA KUKU/ FOWL POX
Virus huambukizwa kupitia jeraha au mbu
Dalili

  • Vidonda vyenye utando wa kahawia/purple kwenye sehemu zinazoonekana
  • Kukosa hamu ya kula
  • Vifo vingi

Kinga

  • Chanja vifaranga wanapofikia mwezi 1-2 kwa kutumia chanjo ya Fowl pox vaccine
  • Epuka kuingiza kuku wageni
  • Zingatia usafi wa mazingira

HOMA YA MATUMBO/FOWL TYPHOID

  • Kuharisha kinyesi cha kijani na nyeupe
  • Kuku hukosa hamu ya kula
  • Kuku hukonda
  • Vifo hutokea kidogo kidogo kwa muda mrefu
  • Kinyeshi hushikamana na manyoya

Tiba
Dawa aina ya antibiotic, sulfa na vitamini
Kinga

  • Usafi
  • Fukia mizoga
  • Usiingize kuku wageni
  • Chinja kuku wote mara ugonjwa huu ukiingia na safisha banda, pia pumzika kufuga kwa miezi 6

MAFUA YA KUKU/INFECTIOUS CORYZA
Hutokana na bakitelia na hushambulia hasa kuku wakubwa
Dalili

  • Kuvimba uso
  • Kamasizilizochanganyikana na usaha unaonuka
  • Macho huvimba na kutoa machozi na pengine upofu
  • Hukosa hamu ya kula
  • Mbawa huchafuka na kutoa harufu mbaya

Tiba
Dawa za Antibiotic, sulfa na vitamini
KUHALISHA DAMU/COCCIDIOSIS
Husababishwa na vijidudu vya Protozoa
Dalili

  • Kuharisha damu
  • Manyoya husimama
  • Hulala na kukosa hamu ya kula

MINYOO
Dalili

  • Kunya minyoo
  • Hukosa hamu ya kula
  • Hukonda au kudumaa
  • Wakati mwingine hukohoa

Tiba
Dawa ya minyoo/Pipeazine citrate kila baada ya miezi mitatu
WADUDU
Viroboto, chawa, utitiri
Dalili

  • Kujikuna na kujikung'uta
  • Manyoya kuwa hafifu
  • Rangi ya upanga kuwa hafifu
  • Ngozi kuwa nene, ngumu na yenye magamba yanayodondoka kama unga

Kuzuia

  • Ziba mipasuko sakafuni na kwenye kuta za banda
  • Fagia banda mara mbili kwa wiki
  • Nyunyiza majivu au chokaa mara moja kwa wiki mara baada ya kufagia
  • Choma masalia ya mayai yaliyoanguliwa
  • Nyunyiza dawa kwenye viota
  • Weka maranda, majani makavu, makapi ya mpunga ya kutosha sakafuni ndani ya banda la kuku
  • Fuata kanuni za chanjo
  • Tenga kuku wagonjwa wakae mbali na kuku wazima

UPUNGUFU WA VIINI LISHE KWENYE CHAKULA
Dalili

  • Kuku hupungua damu, uzito na kudumaa
  • Mifupa huwa laini na kutokuwa imara
  • Hutaga mayai yenye gamba laini na madogo
  • Huwa na manyoya dhaifu,
  • source:http://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/196005-kwa-wale-wanaotaka-kufuga-kuku-wa-kienyeji-kwa-ujasiriamali.html
Read More ...

7 comments