Ndugu mdau tunamshukru MUNGU muumba mbingu na dunia kwa kutupigania katika kila jambo
ndugu zangu ikumbukwe mwaka jana katika shindano la blog yetu ilifanikiwa kushika nafasi ya pili katika kipengele cha ujasiri amali { habai za biashara}
sasa ndugu yangu mwaka huu shindano limerudi tena likiwa na mtazamo mpya ukiwa kama ndugu na jamaa na rafiki naombwa uipenekeze blog hii iweze kuingia katika category mbalimbali na unapaswa kuipendekeza kama wenye shindano wanavyotaka soma hapa bonyeza hapo
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
pia ningependekeza tuipendekeze blog hii kwenye vipengele hivi
Best Business Blog
Best Educational Blog
Best Inspiration Blog
kwangu miminaona ndio vipengele vinavyohusu blog hii
naman ya kufanya,
Unaweza
kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila
email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati
mmoja
mfano: Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza
gshayo.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe ambavyo ni
Best Business Blog
Best Educational Blog
Best Inspiration Blog
unaweza kuongeza vingine lakini vya umuhimu ndio hivyo hapo juu
Email
iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link
ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa
hizi
tanzanianblogawards@gmail.com
au nyingine
nomination@bloggersassociationoftanzania.com
Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
asante sana natumaini tumeelewana na tutapeana ushirikiano mzuri
barikiweni
Categories: