Katika ulimwengu tumezungukwa na mambo mengi na kila wakati tunafanya uchaguzi. Katika moja ya chaguzi tufanyazo kwa kujua ama kutokujua ni aina ya maisha ya kuishi. Waweza taka ishi kitajiri ama kimaskini. Nasema kujua ama kutokujua maana yawezekana hakuna afanyaye maamuzi...

Read More ...

0 comments

Vijana nchini na wananchi kwa ujumla wametakiwa kujiamini kwamba wanaweza kufanya makubwa kwa manufaa yao na ya Taifa, licha ya kuwapo kwa kasumba kwa baadhi ya vongozi ya kutowaamini Watanzania na badala yake kuwaamini wageni. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam...

Read More ...

2 comments

  Forever Living Product ni Kampuni inayoshughulika na utoaji wa elimu na usambazaji wa bidhaa zenye virutubisho vya afya ikiwa ni pamoja na kinga na tiba kwa magonjwa mbalimbali. Pia inatoa elimu ya ujasilia mali inayomwezesha mtu kuongeza kipato cha ziada pindi...

Read More ...

0 comments

Hiki ni kinywa cha asili husaidia kuondoa sumu mwilinihusaidia mmeng'enyo wa chakula mwilini,kupunguza alaeji  mwilini na pia hutibu magonjwa kama ya KISUKARI,VIDONDA VYA TUMBO,BP na kuupa mwili nguvu kwa maelezo zaidi piga au whatsapp 0713352384. Fab forever...

Read More ...

0 comments