Hapo zamani za kale kulikuwa na kijiji Fulani, kilikuwa kizuri sana kwa kuishi isipokuwa tatizo hakukuwa na majim ya uhakika mpaka mvua inaponyesha.

Hili kutatua tatizo hili wazee wakijiji waliitisha kikao na kuazimia kutafuta mzabuni atakayekuwa akikipatia maji kijiji kila siku.

Watu wawili walipatikana kufanya kazi hii na wazee wa kijiji waliamua kuwa zabuni hii wote wawili. wakiamini kuwa ushindani utaweka bei kuwa chini na uhakika wa maji kijijini.

Mmoja wa wa zabuni wale akiitwa Kibwana, haraka haraka alienda kununua ndoo mbili za chuma na kuanza mara moja kwenda na kurudi kuchota maji, kutoka katika ziwa lililokuwa mbali kidogo na kijiji na kusambaza kijijini, akaanza kutengeneza pesa chapchap, akitaabika alfajiri ata jioni akituta ndoo za maji.

Alikuwa akituta na kujaza katika tanki kubwa ambalo kijiji kilijenga kwa ajili hiyo, siku zote aliamka kabla ya wanakijiji wote ili kuhakikisha kuwa maji yanakuwepo kabla hawajaamka, ilikuwa kazi ngumu, lakini alikuwa na furaha kwa sababu alikuwa akiingiza kipato kwa biashara hii.

Yule mzabuni wa pili akiitwa Ben alipotea kwa kitambo kidogo, hakuonekana miezi kadhaa, hii ilimfanya Kitwana kuwa na furaha sana maana hakuwa na ushindani, alikuwa akipata pesa zote za kijiji kwa Wakati huo.

Badala ya kununua ndoo mbili hili kushindana na Kibwana, Ben alikaa chini na kuandika mpango wa biashara, akatengeneza Shirika, akaajiri msimamizi wa mradi, akatengeneza timu ya kazi, alirudi miezi sita baadaye akiwa na watu wa ujenzi, ndani ya mwaka Mmoja wajenzi wale walijenga mtandao mkubwa wa mabomba uliounganisha ziwa na kijiji.

Siku ya ufunguzi Ben akijua ya kuwa watu walikuwa wakilalamikia uchafu wa maji ya Kibwana, alitangaza kuwa maji yake ni masafi kuliko ya Kibwana, pia ya kuwa anaweza kusambaza maji kijijini masaa 24, siku saba za wiki, Wakati Kibwana anaweza kuleta siku za kazi tu, na zaidi akatangaza kushusha bei kwa asilimia 75 ya ile anayotoza Kibwana, watu walifurahi sana, woote wakawa wanateka maji kwa Ben.

Kibwana kuona vile aliamua naye kushusha bei kwa asilimia 75 pia, akanunua ndoo mbili zaidi, akaongezea na mifuniko katika ndoo zake, akaanza kututa ndoo nne kwa mpigo, ili kuwahudumia vyema wanakijiji aliamua kuwaajiri wanae wawili wa kiume ili wasaidiane naye, ilibidi pia kufanya kazi mpaka usiku na siku za mwisho wa wiki, ilipofika muda wa wanae kwenda vyuoni, aliwaasa wakimaliza warudi haraka nyumbani kwani hii itakuwa biashara yao siku za usoni.

Kwa sababu hii ama ile watoto wale hawakurudi baada ya kumaliza masomo, mwishoni Kibwana aliajiri watu kufanya naye kazi, lakini akaishia kupata matatizo na umoja wa wafanyakazi, Umoja ulimtaka kuwapa maslahi mazuri, kubeba ndoo moja kwa safari na kuwapa marurupu zaidi.

Ben, kwa upande wake alitambua kuwa ikiwa kijiji hiki kinahitaji maji bila shaka na vijiji vingine vinamahitaji pia, hivyo akaandika mchanganuo wa biashara yake ya maji safi, salama, uhakika na gharama nafuu kwa vijiji vyoote duniani, anaingiza pesa ndogo tu kwa kila ndoo lakini anauwezo wa kuuza mabilioni ya ndoo kila siku, haijalishi kama amefanya kazi au la, mamilioni ya watu watapata maji na mabilioni yataingia katika akaunti yake ya benki, Ben amatengeneza bomba la kumletea pesa yeye mwenyewe na pia kuwaletea wanakijiji maji.

Ben aliishi kwa furaha zaidi na Kibwana alifanya kazi ngumu maisha yake yoote na kuishia kuwa na matatizo ya pesa milele,

Swali je, Ungali watuta ndoo za maji au wajenga mtandao wa mabomba?

Katika kazi ama biashara uifanyayo, wajenga bomba au watunta ndoo za maji??

Jeni Biashara au kazi gani chini ya jua inaweza kukufanya ujenge Bomba, bomba la kipato? yaani itakayokuwezasha kuingiza pesa masaa 24, siku saba za wiki, pasipo kuangalia ikiwa umefanya kazi au la?

Nitwangie 0716927070, au ni-email: brwebangira@gmail.com kwa swali lolote.

Nakutakia mafanikio katika kila ufanyalo.

Read More ...

1 comments









 
  BY DINFIN MULUPI | ENTREPRENEUR WATCH, FEATURE ARTICLES, ICT, TANZANIA |
Nadeem Juma established an international school ten years ago at the age of just 19, and is the co-founder and chairman of a research and development (R&D) company that developed and deployed the first mobile banking platform in Tanzania. Juma is also the co-founder and chairman of AIM Group, the first new media agency based in Tanzania. How we made it in Africa’s Dinfin Mulupi engaged the self-confessed serial entrepreneur on digital marketing, Tanzania’s technology sector and the ‘dos and don’ts’ that investors should be aware of before entering Tanzania.


How did you get into business?
I am a serial entrepreneur. My first startup was an international school called Dar es Salaam International Academy (DIA) when I was 19. I was inspired to start the school because Tanzania has an emerging middle class like the rest of Africa, but there was a gap in the market in regards to quality international education at an affordable rate. A lot of them were going to boarding school in Kenya, South Africa and Swaziland and this was a barrier for people thinking of settling in Tanzania. The school has grown significantly in the last ten years, and is now one of the leading international schools in Tanzania.


In 2004, I co-founded E-Fulusi Africa, a research and development company focused in the mobile payment space. E-Fulusi developed and deployed the first mobile banking platform in Tanzania. One of E-Fulusi Africa’s earliest developments was the EFMTS, an independent switch that connects the four main mobile operators in Tanzania, thus allowing mobile technology solutions to be hosted, managed, and implemented. About two years ago we established AIM Group, a new mediaagency. In the last 18 months AIM Group has expanded from a team of three to 25 and currently works with 10 major brands in Tanzania.



East Africa has made major strides in technology but Tanzania is conspicuously lagging behind. What is the problem?

We have a major shift happening in Tanzania. The highest numbers of university graduates are in the ICTfield. The problem is they are not getting proper skills and quality education required to perform in their fields and hence a lot of them are moving into customer care, network administration and junior positions. We are seeing a lot of self learning happening though. The establishment of incubators and innovation spaces has offered developers a platform to access the internet, devices and other services that they require. Developers are making apps, but we need to do more in improving quality. In terms of churning out great products, I think it is way too soon for us (Tanzania). Developers are not yet making money because of the challenges in distribution and monetisation. In Tanzania we are also shy to publicise our successes and abilities. I would say this is cultural – compared to Kenya where individuals are always marketing and publicising their achievements, big or small. Buyers also don’t have faith in local capacity. They think, “this is homegrown, will it stand up to the IBMs of the world?” Again, we need to give more support to Tanzanians and learn from our neighbours where often the first opportunity is given to homegrown solutions. There is not enough seed capital, and even the little money floating around comes with a lot of strings attached.


How long before you start churning out tech millionaires?

The potential certainly does exist amongst companies that started early and have been in the space for awhile, like us, and I certainly think, as we get more [exposure], we can be tech millionaires soon. In the short term people are going to come up with great technology and they are going to be acquired by big players. These will probably be either international players or Kenyan and South African players looking to get into Tanzania. In the next 15 to 24 months we are going to see a lot more great technology coming out of Tanzania; our mobile money is picking up, internet penetration is going up and as these things happen we are going to see better apps and better technology that is going to generate great revenue in the long-term, help us establish Tanzanian capabilities in the market, and hopefully create a few tech millionaires.




There is a perception that it is difficult to do business with Tanzanians. How true is this?
From our experience travelling in other countries, I would say Tanzania is one of the hardest markets in East Africa to crack. We have a lack of systems, processes, institutions and organisations to support the growth of the market. I would say we are five years off, if we want to be at Kenya’s level. However, there is a shift, in the technology sector specifically. We are starting to see great leadership. We have the ability to get so far, but the drive has to be in everybody; from the entrepreneurs, investors and government. Building that goodwill, will take time.


Describe some of the challenges you face at AIM Group.

One of the major challenges we face is lack of capacity in Tanzania and this makes recruitment a big challenge. However, with the right training and environment, new hires have the potential to become some of the best developers. If you invest in your employees, within three months, their capacity improves significantly.
AIM Group is a new media advertising agency. How effective is digital advertising in Tanzania?


Mobile and internet penetration is going up almost everywhere in East Africa. Brands need to be present in this space. Those who go in first will be reaping benefits ten years down the line. The challenge is convincing companies that they need to be visible and having conversations in this space.



Why the reluctance amongst brands given the success of mobile technology in East Africa?

This is because traditional marketers don’t usually understand digital marketing. They understand above the line marketing perfectly well. There is always a fear around the word technology. We spend a lot of our time educating our clients and involving them and their traditional agencies. We have to show them how it benefits them. If you try to fight with their traditional agencies, which have the big spend, they will cut you out. Once one major brand goes digital, others follow. We have seen this in Tanzania, from one major brand 18 months ago to 13 major brands now.


What advice do you have for other entrepreneurs?

Be ready for failures and never give up. If you don’t have a string of failures behind you, it means you have learnt nothing. Failure is a big part of being an entrepreneur. If you want to be successful, you have to collaborate. There is always 100 other people who have the same idea as you. For Tanzanians that is a big challenge; we are always worried about collaborating. We need to get over that handicap very fast.


What are your future plans?

Our goal is to grow on the continent. We think there is a great opportunity in the digital space in Africa. We are in our growth phase. In the next 12 to 18 months, we want to have an East African presence and then move from there. In AIM Group, we sit in a very good space right now. We are in a market where we were the first digital agency (in Tanzania) and so we had the first mover advantage. This makes it easy for us to attract investors, partners, clients, and global digital players. That said, it also attracts competition that have learnt from our failures and successes. Our challenge right now is taking our own advice and realising that if we want to grow, we can’t do it alone. We are currently travelling a lot across Africa looking for the right partners.


Any pointers for investors eyeing Tanzania?

There is a perception that Tanzania is a high-risk market but if you do research, you will realise that it is not as high risk as most people think. Investors need to change the way they come in. Investors want to come in and exit in 24 to 60 months and make massive returns on their investment. Coming in with that mindset is not going to work. Make sure you are coming in for the long haul. Make sure you are adding real value and don’t come in with the mindset that you are going to ‘save’ people. There are great things happening in Tanzania; put in the money and let people grow with it.

Read More ...

0 comments











Finance Clerk (for Insurance Company)
Employer: Shugulika Recruitment
Areas: Dar es Salaam
Application Deadline: Jun 07, 2013
Duties and Responsibilities:
The key responsibilities of the incumbent will be:
Bank transactions: Capturing and reconciliation of receipts and payments
Manual journals
Prepare payment vouchers and cheques
Control account reconciliations (premium debt, outstanding claims, premium accruals, claim accruals etc
The ideal candidate should meet the following requirements:
Grade 12 or equivalent qualification
Preferably studying towards an Accounting qualification
1 – 2 years experience in a similar role
Computer skills (Specifically Ms Office)
Strong action orientation
Oral & written communication skills
Planning & organizing skills
Ability to work with multi currencies
Sound reconciliation knowledge
Professionalism, taking pride in your work, a sense of accountability and passion for this exciting field will be a definitive deciding factor in the recruitment and selection process.
Click Here for full Position Description and to Apply.

Human Resources Manager
Employer: Chai Bora Tanzania
Areas: Dar Es Salaam
Application Deadline: June 11, 2013
Position Description:
The “Chai Bora” brand has been a household name since 1994. The company’s factory is based in Mafinga, the heart of Tanzania's tea-growing region. The
company blends, packs and markets high quality tea and herbal infusion products. For more information, please visit the Website Link below Following its acquisition by Catalyst Principal Partners, Chai Bora has been pursuing its vision of becoming the leading beverage business in Tanzania and growing its presence within the SADC (Southern African Development Community) region.
The Human Resources and Administration Manager will report directly to the Managing Director and will maintain and develop HR policies, ensure compliance and contribute to the development of corporate HR policies. S/he will lead a team in developing the talent in the company.
Key Responsibilities:
Preparation of human resource plans and budgets
Preparation and maintenance of all human resource documents
Staff recruitment, retention and exit plans
Preparation of staff training programmes
Coordination of staff appraisal programmes
Dealing with labour and union related matters and Issuing guidelines on labour laws and implementation
Coordination of health and safety programmes, including HIV/AIDS awareness and prevention
General administration, including matters of registration, licenses and certifications
Click Here for full Position Description and to Apply.

Marketing Executive
Employer: Inter Press Tanzania
Areas: Dar es Salaam
Application Deadline: June 14, 2013
Duties and Responsibilities
From The Guardian May 27, 2013
Reports to: Head of Unit
Duties and Responsibilities
Inter Press of Tanzania is a medium sized printing company that was established in 1986 with the mission of providing affordable quality printing services for the Tanzanian market. Inter Press produces books, calendars, flyers, brochures and other business and marketing materials. Their clients include universities and colleges of higher education, government ministries and parastatals. For more information about Inter Press please go to the Website Link below.
The Marketing Executive reports to the General Manager and will be responsible for developing and maintaining marketing strategies to meet organizational objectives. The job will involve overseeing research and data on customers, competitors and market conditions and implementing marketing plan changes as needed.
Key Responsibilities
Prepares and implements marketing strategy (including product pricing), marketing plan and department budget
Formulates, directs and coordinates marketing activities (campaigns and promotions) and policies to promote products and services – holds the responsibility for the marketing of all printing job works
Specifies market requirements for current and future products by undertaking or commissioning market research, supported by on-going visits to current customers and potential customers
Click Here for full Position Description and to Apply.

Weighbridge Operators (Three Posts)
Employer: TANROADS
Areas: Manyara
Application Deadline: June 12, 2013
Position Overview:
General Purpose
From Daily News May 29, 2013
TAN ROADS is a semi-autonomous Agency responsible for maintenance and development of Trunk and Regional Roads Network in Tanzania Mainland, implementation of road safety and environmental measures, provision of advice on the strategic framework, policies and plans for the road sector. It is also mandated with a responsibility of conducting Axle Load Control Operation using Weighbridges.
The Regional Manager's Office TAN ROADS - Manyara, on behalf of the Chief Executive, TAN ROADS, intends to recruit suitable qualified and competent Tanzanians to fill the following various vacancies in the region on Contract terms (Renewable subject to satisfactory performance) in order to improve effectiveness and efficiency in Axle Load control operatives.
Successful candidates must be ready to work daily including weekends and public holidays. They should also be prepared to work for considerable length of time away from their permanent station.
Educational/Professional Qualifications
Must have an FTC or Ordinary Diploma in Civil or Mechanical or Electrical Engineering from a recognized Learning Institution/ Colleges.
Computer literate (At least Advanced Certificate in Computer Applications).
Fluent in both Kiswahili and English
Age Limit: Not above 35 years of age
Click Here for full Position Description and to Apply.


ALERTS - www.ZoomTanzania.com/SignUpForAlerts

VIEW ALL JOBS - Tanzania Jobs | Jobs in Tanzania | Tanzania Employment.
Read More ...

0 comments







10 commandments for a youth to be successful
1. Do not depend on Ur parents' wealth. Someone may come tomorrow to dupe you and you will lose everything. Learn to do things on ur own.
2. God has given everyone a talent. Pray about urs, discover it, and work on it. Then it will work out for u.
3. Do not just sit down and ping, tweet, Facebook while others are making money with their talents. Be wise for once, the owner of these things are using us to make money.
4. Its good to appreciate good things, but learn to appreciate it wisely and stop arguing unnecessarily about football and players. When will people argue about you also? Think!
5. Don't feel like a don for sleeping with too many ladies, they won't make Ur destiny fulfilled as some are filled with bad luck.
6. Learn to get a lady close to you to be successful as they say: without a woman,a man cannot be successful.
7. Learn to solve problem on Ur own, its a good way of making it in life. Don't copy others, tap little from them and modify it.
8.Stop drinking and smoking too much as it may damage Ur life too much. Do it socially.
9. Learn to have a good heart, help people around you if you have the power as they'll use their heart to bless you.
10. Think about impossible things, try to make it possible. Bigger people started from somewhere.
Read More ...

0 comments


MSOMAJI wangu, katika mfululizo wa mada, nimedhamiria kukuletea kitu kipya.
Leo tutaangalia jinsi ya kukabiliana na ugonjwa wa kushindwa kufikia malengo.
Kila mmoja tayari ana vifaa vya kutosha katika maabara yake ambayo anaweza kuitumia kwa ajili ya kazi na kujifunza.
Maabara ambayo ina kila kitu kinachokuzunguka katika dunia hii. Ambamo hutapata vikwazo, kwa kuwa kila utakachojifunza utajiona kama wewe ni mtaalamu.
Ukiweza kuitumia vizuri maabara hiyo, itakuwezesha kumaliza matatizo yako ya kifamilia kama vile, kulipia kodi ya nyumba, kulipia ada za shule na mambo mengine yanayofanana na hayo. Hivyo unaweza kuitumia maabara hiyo kwa uhuru zaidi jinsi unavyopenda.
Kwa upande mwingine, unaweza kuwaza jinsi ya kuwa na malengo makubwa katika maisha, kwa kupenda kujifunza kwa wengine waliofanikiwa.
Lakini angalizo lililopo, unatakiwa kujifunza kutoka kwa wengine kwa uangalifu. Pale unapopata jambo linalokufaa lifanyie kazi.
Unapoendelea kujifunza kutoka kwa wengine, utaona kuwa, watu wasiokuwa na mafanikio wanataabika katika akili zao kwa ugonjwa wa kufikiri.
Kila mtu asiyefikia malengo ya mafanikio amekuwa na ugonjwa huo kwa kiwango kikubwa.
Na mara zote mtu mwenye malengo makubwa hupenda kujiuliza ni kwanini hapo alipofikia hajafanikiwa, kwa nini hana kitu fulani au kwanini hawezi kufanya jambo fulani, ili aweze kupiga hatua zaidi ya hapo alipo.
Kama ugonjwa mwingine wowote unavyompata mtu, ugonjwa wa kufikiri unakuwa mbaya sana endapo hautatibiwa vizuri.
Muathirika wa ugonjwa huu, anakuwa akiwaza mambo mengi, kama vile ‘najaribu kufanya jambo hili na lile lakini sipati mafanikio’ na kuendelea kuwaza: “ Je, ni afya mbaya niliyonayo” au ni ukosefu wa elimu? Umri mkubwa? Umri mdogo? Bahati mbaya? Ama kutokuwa na bahati ya maisha? Mke? Ama jinsi nilivyolelewa na familia yangu?”
Hivyo mtu huyo aliyeathirika na ugonjwa huo, asipojigundua ataendelea na hali hiyo katika maisha yake.
Ili kukabiliana na hali hiyo, ni vizuri kujizoeza kuwa na mawazo chanya yenye mafanikio, ambayo ndiyo tiba ya ugonjwa wa kushindwa.
watu wenye ugonjwa wa kushindwa huwa na visingizio mbalimbali kama vile ‘afya yangu siyo nzuri’. Hiyo hufanya kila siku anapopata changamoto ya maisha badala ya kutoka hapo alipo, kuwa na jambo lolote la utetezi fulani.
Anakuwa na afya mbaya katika aina tofauti tofauti, ambacho ndicho kisingizio chake anaposhindwa kufanya jambo linalompatia maendeleo.
Wapo watu wengine wamekuwa wakisingizia wana matatizo ya moyo, na wamekwenda kwa daktari zaidi ya mara nne, na kila wanapokwenda ugonjwa hauonekani.
Kuendelea kueleza kuwa, una ugonjwa wa moyo, mwisho wa siku tatizo hilo litakupata kweli. Kinachotakiwa ni kuishinda hali hiyo na kusonga mbele katika kupata maendeleo yako katika maisha, bila kujali unasumbuliwa na kitu gani.
Sasa basi yapo mambo manne ambayo yanaweza kukupa afya njema na kuondokana na hiyo hali inayokufanya ukate tamaa, ama kufikiria kuwa huwezi kila jambo lililopo mbele yako.
Kwanza usikubali kuizungumzia afya yako. Kadiri unavyozungumzia kuhusu ugonjwa unaokusumbua, hata kama ni wa kawaida, ndivyo utakavyozidi kukusumbua.
Kuzungumzia kuhusu afya yako kama ni mbaya ni kama unaweka mbolea kwenye mbegu zilizopandwa.
Kuzungumzia afya yako ni tabia mbaya. Inachosha wengine. Watu waliofanikiwa wana tabia ya kutokuzungumiza afya zao zinapokuwa mbaya.
Pili usiwe na hofu juu ya afya yako. Fanya kile unachokusudia ili kufikia malengo mazuri.
Tatu, jione kuwa afya yako ni njema haina kasoro. Na pia endelea kujikumbusha kuwa, maisha yapo kwa ajili ya kuyafurahia. Usipoteze. Wala usiishi kwa kufikiri juu ya kulazwa hospitali.
Vile vile usipende kuchunguza kwa nini mipango unayoipanga haifanikiwi, bali ichekeche akili yako kuelekea njia ya mafanikio.
Read More ...

0 comments