kama wewe ni kijana, je, unataka ufaulu masomo yako? Je, unajua kuwa unapozeeka unakuwa msahaulifu? Je, wewe bado ni kijana lakini ni msahaulifu? Kama hujui basi chukua tahadhari.

Anza kwa ku ‘Relax’! Kwa sababu ‘stress’, mawazo, kukosa raha na wasiwasi hudhuru, tena huacha kovu kwenye ubongo wako, na maumivu hayo kwenye ubongo wako huua chembechembe muhimu na kuzuia uzalishaji wa chembechembe mpya za kukusaidia katika kujifunza, kuelewa masomo na kuwa na kumbukumbu nzuri. Mwisho hupelekea mtu kuwa mbovu wa kusahau sahau na kutokuwa na ‘concentration’ au kumbukumbu nzuri.

Anza leo kuchukulia vitu poa, acha mawazo au punguza stress, hata kama ni kidogo kidogo utaona ni njia nzuri ya kujijengea ubongo wenye kuchallenge masomo yako na utakuwa mwenye kukumbuka nzuri, mfano utaweza kukumbuka formulas, majedwali, majibu ya maswali kwenye mitihani, majina ya watu na vitu muhimu katika maisha yako.

kwa hisani y Shear illusion

Categories:

Leave a Reply