SEMINA YA KUBADILI MAISHA YAKO 2014
AMKA MTANZANIA imeandaa semina ya kubadili maisha itakayofanyika jumamosi tarehe 18/01/2014.
Mada zitakazozungumzwa ni;
1.       Wewe ni zaidi ya unavyojijua.
2.       Wewe ndiye kiongozi mkuu wa maisha yako.
3.       Umuhimu wa kujihamasisha na kujiendeleza binafsi.
4.       Jinsi ya kuweka malengo makubwa na utakayoyafikia.
5.       Makosa makubwa unayofanya wakati wa kuweka na kutimiza malengo yako na jinsi ya kuyaepuka.
Semina itafanyika UBUNGO PLAZA, kwenye ukumbi wa chuo cha INFOBRIDGE(MUGEREZI SPACIAL TECHNOLOGY)
Kiingilio ni TSH 10,000/= Muda ni kuanzia saa nne kamili asubuhi mpaka saa nane kamili mchana.
Bonyeza link hii http://bit.ly/1aawKcL kujaza fomu ya kuhudhuria
au kwa maelezo zaidi tembelea hapa (http://www.amkamtanzania.com/p/blog-page_9.html)

Categories:

Leave a Reply