kabla
ya kuanza naomba tuvumiliane na kiswahili kidogo kilichotumika huku na
mwandishi si kizuri kuna baadhi ya lafudhi zimekosewa
Unawezaji kupunguza woga wa kushindwa katika biashara?
Wasi
wasi wakushindwa umetuzuia hatakuanza, na tumekuwa tukishindwa hata
kabla ya kuanza, yaani kabla mtuhajafikilia kuanzisha biashara tiyali
ameisha shindwa, hivyo wakuu nimejaribukuangalia baadhi ya njia za
kupunguza wasiwasi wa kushindwa kuanza biashara
1. Hakikisha kwamba familia yako haitapata shida wakati utakapokuwa unaanza biashara
-Watuwengi
sana wamekuwa wakishindwa kuanza biashara kwa kuhofia familia zao,
mtuakifikilia familia yake anaona bora tu aendelee na mshahara wa mwisho
wa mwezikuliko kunza biashara halafu familia iteseke
Hiini ulweli
kwa sababu kushindwa kwako kutaathiri hadi familia yako, marafikizako,
ndugu zako na kazalika, ukiwa na huzuni ya kushindwa biashara hata
watotona mke hawatakuwa na furaha kamwe,
Hivyowaandae watoto wako,
mke/mme wako kisaikolojia kwanza, na hakikisha kwamba hataukishindwa
familia yako haitafeel pain sana, hii itakusaidia
2. Don’t over spend
Watuwengi wamekuwa wkiwa na wasiwasi wa kushindwa kwa sababu ya kutambua kwambawatatumia ghalama kubwa katika biashara,
KAMA
NI BIASHARA YAKO YA KWANZA KABISA NA NDO UNAANZA BIASHARA USI OVER
SPEND,tumekuwa tunaathiriwa na biashara za wengine, mtu anatembelea
ofisi ya kampuniFulani kule BENJAMINI MKAPA TOWE, nay eye anawaza kuwa
na vitu kama alivyo onakule, No anza na ulicho nacho, na kwabaisahra ya
kwanza usitumie pesa nyingi sana, Kama ni hoteli anza na MABENCHKWANZA
make kinacho mata ni huduma na si fanicha, unaweza weka fanicha karisana
lakini kama huduma ikiwa mbovu huta muona mtu
3. Fanya market research kwanza
Hiiinaweza
kukupunguzia uoga wa kushindwa, make utakuwa na uhakika wa soko baadaya
kuwa umefanya research, Watu wengi ni wabishi sana tunaanza biashara
kwakuamni kwamba wateja watakuja tu, hii ni makosa makubwa sana,
TUMEKUWATUKIFANYA RESEARCH YETU KWENYE BEI, KAMA KITU KINA LIPA MTU HUANZA BIASHARABILA YA KUJUA ATAMUUZIA NANI,
market research haiko kwenye bei pekee iko sehemunyingi kama vile
- Demand
- Competitors
- Market share
- Population
- Price
- Na kazalika
Tumekuwahatu
fanyi hayo yote matokeo yake mtu anakurupuka anaanza kufuga KUKU kisa
tumtaani kwao watu wanafuga na inalipa sana, hayo ni makosa makubwa sana
wakuu
4. Kila biashara ina Risk yake
Hivyofanyia tambua riski zote zilizoko katika Biashara yako na zifanyie kazi,
Mfano:Ufugaji
wa kuku, Watu wamekuwa wakiogopa sana biashara ya kufuga kuku kisa
tuugonjwa, sasa kama unafahamu riski kubwa ni ugonjwa ni kwa nini
usifanyie kazihili tatizo? Je hakuna madawa? Je tatizo nini?
5. Vitendo, TAKE ACTION OTHERWISE YO FAILED
Kufanyakwa
vitendo nako hupunguza wasiwasi wa kushindwa, watu wengi wamekuwa
wakiishiakusema nina Business planning nzuri sana, BUSINESS PLANING SI
BIASHARA,BUSINESS PKANING NI MAKARATAI, NA KUYAWEKA KATIKA VITENDO NI
ISHU NYINGINEKABISA
6. Kumbuka Wajasirimali wakubwa DUNIANI walishindwa mara nyingisana kabla ya kufanikiwa
Ukiwana
wasiwasi wakushindwa katika biashara yako, fikilia kwanza
kuhusuwajasirimali wakubwa walishindwa kabla ya kufanikiwa, SOMA
HISTORIA YA HONDA,wacheki wakina Michaele Dell, mcheki na Henry Ford
hawa walishindwa mara kibaokabla ya kuja kufanikiwa
Steve Jobs is
a great example. He revolutionized thecomputer and multimedia industry
with his marvelous inventions and successstories, but he is also an
entrepreneur who had a lot of epic fails. Do youremember Apple I and
Apple II computers? They were sold in mere hundreds andwere complete
failures. What about Lisa, introduced in the early 1980s? Whatabout NeXT
Computer? Do you relate these failures to Steve Jobs? – Not sure…Well
yes, he failed on these ones but all of them were followed by
greatsuccesses. Check Nick Shulz’ great blogpost, “
WhataboutGoogle?
Even great companies such as Google havestartup failures. Google Wave,
Google Nexus One, Jaiku, or Google Answers are someexamples of startup
projects which required huge investments and in the endthey still
failed. Follow this andthis link to readmore about Google startup
failures. Thus, we can see that failing is part ofthe learning process
and part of your way to success.
To sumup, failing is not such a
bad thing. In fact it is a great thing because itteaches you to things
you cannot learn without “hitting the ground”.
Fred
Wilsonsays:“Whenwe meet with entrepreneurs, I’m always interested in
their failures. And mostpeople have them, you just have to dig a bit to
find them. If someone hasfailed and taken the time to learn from it, I
think that’s a big positive. Itmakes us even more excited to back them
the next time. Don’t hide yourfailures. Wear them as a badge of honor.
And most of all, learn from them
7. Usiweke mayai yote kwenye kapu moja
Madhara
ya kuweka mayai yote kwenye kapu moja ni kwambamara tu kikapu kitakapo
dondoka, itakuwa imekula kwako, hivyo basi njianyingine ya kupunuza
wasiwasi wa kushindwa ni kujaribu kuwa na SBU nagala mbilihadi tatu,
Unapo
anza biashara mathalani ya Hoteli, kuwa basi nabiashara nyingine ya
Ufugaji wa kuku au kilimo cha Mboga, hii itakupunguziawasiwasi kwa
sababu utakuwa unajua kwamba ukishindwa sehemu moja bado unasehemuya
pili ya kufanya vizuri
8. Choma Meli moto/Burn the boat
Huu
ni mkakati ulio kuwa ukitumiwa na wagiriki enzi zavita miaka hiyo,
Wanajeshi wa Kigiriki walivyo kuwa wakifanikiwa kufika eneo laVita au
kwenye uwanja wa vita kitu cha kwanza walicho kuwa wakifanya ni
kuchomaVitu vilivyo wafikisha eneo la VITA, walichoma mashua na meli zao
zote, hii iliwafanya wasiwe na altenativeyeyote ile zaidi ya kupigana
na kushinda vita make wakishindwa bado wata uwauwatu kwa sababu tiyali
wameisha choma moto MELI ZAO NA MASHUA ZAO
Na hii iliwafanya wanajeshi wa Kigiriki kuwa na Molari yahali ya juu na ujasiri mkubwa sana na mara zote walikuwa wakishinda
SO? Kama kushindwa na kushinda katika biashara ndooptional pekee zilizopo huna budu kuzifuata zote na kupigana gadi mwisho.
Kama
una aidea lakini unaogopa kuanza CHOMA MOTO MELIYAKO na enedelea mbele
kwa kuamini kwamba kushindwa hakutakusaidia chochotekile, WAGIRIKI
walikuwa wakiamni hata kama wakishindwa ni kazi bure, so na wewefika
mahali uamini kwamba hata kama ukishindwa ni kazi bure hivyo ni
kupiganatu
WAKUU, fear ya kushindwa huondoka mara tu unapo gunduakwamba haitakusaidia chochote kile
9. Tambua ghalama za furusa unazo ziacha
Kabla
hujafikilia kuacha biashara au kuanzisha biasharaFulani fikila ghalama
au COST OF MISSED OPPORTUNITIES ambazo utakuwa umeziachapindi ukitemana
na biashara
source:http://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/274716-kupunguza-woga-fear-ya-kushindwa-katika-kuanzisha-biashara.htm
Categories: