Kwa Mwanaume mwenzangu ,usije ukabugi ukampenda mwanamke wa duizaini hii mwanamke ambaye hana muda na wewe na usipomtafuta siku nzima wala hata hashtuki,mwanamke anayejifanya sister duuu hata akili yakukuambia ununue kijiko hana,mwanamke ambaye anaogopa kutambulishwa kwa marafiki au ndugu,mwanamke ambaye anajijali akiwa na shida umsaidie uwe naye karibu akimaliza hana tyme na wewe kabisa,
mwanamke ambaye anapenda pesa kuliko anavyokupenda wewe,

mwanamke anayewaza kununua Kiatu cha Mchechemeo,kununua vipedo tu anapenda kwenda club hawaz kuhusu future ya badaye...mapenzi hayalazimishwi hata uwe na pesa kama Bill Gates huwez kununua Moyo wa mwanamke ili akupende atakuchuna tu alafu ukishaishiwa uhonge Iphone 5 anakukimbia bora uwe na mwanamke wa kawaida ambaye anajali na mwenye heshima kuliko kuwa na mwanamke mzuri alafu anatabia mbovu na hana malengo ya maisha...MANENO YANGU SIYO SHERIA
by 
Simon TheDon

Categories:

Leave a Reply