Katika Maisha Kuna Kitu Kuridhika. Unapokuwa Na Mtu Ambaye Anakupa Kila Aina Ya Furaha Maishani Mwako Bila Kuonesha Tabia Zozote Zinazokutia Mashaka Juu Ya Penzi Lake, Huyo Mpende, Mheshimu Na Muamini, Hata Kama Kuna Uwezekano Wa Yeye Kuwa Anaficha Makucha Yake Na Kuyachomoa Pale Anapokuwa Mbali Na Wewe, Kwa Sababu Huna Uhakika Na Hujawahi Kumuona, Chukulia Kwamba Yeye Ni Msafi Kisha Yaache Maisha Yenu Yaendelee Kuwepo.

Nasema Hivyo Kwa Sababu, Tukianza Kuchunguzana Hakuna Ambaye Ni Msafi Kwa Asilimia Mia Moja. Kila Mtu Anajiamini Mwenyewe

 Lakini Huwezi Kuiamini Nafsi Ya Mwenzako Kwa Asilimia Zote.

Categories:

Leave a Reply