Ndugu wadau napenda kumshukuru Mungu kwa mema mengi anayonijalia mimi na wewe kils siku iitwapo leo
ndugu mdau wangu kusoma vitabu ni jambo muhimu sana kwani mambo mengi katika ulimwengu huu yapo katika maandishi zaidi,yaani kwa kifupi goood information zote za dunia hii zipo kwenye maandishi,kwahyo ni jambo la muhimu sana kuanza kusoma vitabu kwani ni mojawapo ya njia nzuri ya kufanikiwa katika maisha yetu hapa duniani
Ndio maana hata maneno ya mungu yaapo katika vitabu.
ndugu yangu usitegemee kupata habari nzuri kama hauna desturi ya kusoma vitabu najua watu wengi tupo katika pilika mbali mbali za kutengeneza pesa lakini tunapaswa vilevile tutenge na muda wa kujisomea kuongeza mbinu mbalimbali za kutuwezesha kuwa na vipato vizuri,
ndugu yangu mimi huwa naamini mafanikio ya kweli yanapatikana kwenye kusoma vitabu,ndugu yangu naomba kuanzia leo ujenge utaratibu wa kusoma vitabu.
ndugu mdau kama unahitaji kusoma vitabu vizuri vya kukujengea misingi imara ya maisha yako unaweza kuniandikia email alafu nikakushauri ni vitabu gani vizuri vya kusoma na vilevile naweza pia kukutumia kitabu kwenye email yako na wewe ukafaidi hiki ninachokiandika hapa

kuna vitabu vizuri vya kusoma kama

KICHWA CHAKO NI DHAHABU,THE RICHEST GOLDMINE IN YOPU na NGUVU YA KUJITAJIRISHA NDANI YAKO

kama utahitaji vitabu hivi na vingine vingi unaweza kuwasiliana naye

GEOPHERY TENGANAMBA,

CONTACTS +255714477218 AND gtlivemore@gmail.com

MUNGU AKUBARIKI

Categories:

Leave a Reply