Jaribu kufikiri ingekuwa vipi kama kusingekuwa na changamoto njiani mtu kufikia mafanikio!
Kwamba kufanikiwa kungekuwa ni rahisi ama hazina ingewekwa peupe, je ungekuwa na sababu gani kusherehekea mafanikio?
Wakati watu wanakula matunda ya mafanikio wengine wa bize kuchunguza mizizi, jiunge na wanaokula matunda ya mafanikio badala ya kupoteza muda kuchunguza mizizi!
Zipo njia nyingi za kumfanya mtu aanze kufurahia matunda badala ya kukaa akichunguza mizizi.

It is a challenge to succeed. If it were not, I'm sure more people would be successful, but for every person who is enjoying the fruit from the tree of success, many more are examining the roots.
They are trying to figure it all out.
They are mystified and perplexed by what seems to be some strange, complex and elusive secret that must be found if ever success is to be enjoyed.
While most people spend most of their lives struggling to earn a living, a much smaller number seem to have everything going their way.
Instead of just earning a living, the smaller group is busily engaged in designing and enjoying a fortune. Everything just seems to work out for them. While the much larger group sits in awe at how life can be so unfair, complicated and unjust.
"I am a nice person," the man says to himself. "How come this other guy is happy and prosperous and I'm always struggling?" He asks himself, "I am a good husband, a good father and a good worker. How come nothing seems to work out for me? Life just isn't fair.

Categories:

Leave a Reply